Mmmh sikuwah kuamino ila ;fanyakazi mwenzangu amechukua lilizo lwa ajili ya hili;;ana bucha za samaki sasa ikawa mauzo yanaenda tofauti na mzgo uliouzwa;;imewatokea mara sita akaamua kumweka ndugu pesa wanapokea wanaandika anaweka kwenye droo ikifka jion waliochandika kwenye daftar na pesa iliopo tofauti ikawa mara tatu lkwa ndugu sasa jamaa amepga simu baada ya kulkaa mwenyewe siku saba kwamba kuna majini yanachukua h yake nkamwambia hiyo ironleta wala usichoke ;;mm
jamani kama kuna mtu anayejua jinsi ya kuzuiya chuma ulete aniambie maana naona biashara yangu inafirisika siamini sana waganga wa kienyeji nahisi ndo watadi kunifirisi kuna jamaa mmoja aliniambia mkaa uliotumika naona haijanisaidia wadau nijuzeni njia nyingine ya kuzuiya hii kitu
Jioni huchukui buku tano kusuuza koo?