Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 970
- 1,725
Mambo nipendayo
For God sake, Chica Gee angekuwa hivyo, nisinge rudi humu 😅😂
Dad sema kitu Chivundu anamuita mrembo binti yako mbele yako husemi kitu🙌
Kabisa vijana wanaona maujanja kujiokotea skrepa la mwaka wa 47, na kuachwa ndani wanacheza Ps na wanaona maujanja , wakati kiukweli hiyo mikangafuu ya mwaka wa 47 ina kula nguvu zao za uchapa kazi tu🚮Hakuna njia ya mkato kutoboa kwenye maisha.Vijana wanajichelewesha wenyewe na generation zao. Uvivu ni hatari sana
😎kama lakoBichwa lako
Kabla sijakubari Thibitisha kwanza😅Kabla sijakwambia nilikuona wapi, kubali kwanza wewe ni mrembo na mzuri ajabu.
Kuna watu 26, 27 huko hawana watoto ila matumbo ka diaba.😁😁 kaka hebu acha tumbo bila mtoto hata 1 ni maajabu
Enjoy bro
3 consecutive days, sija pata dose ya macho ujue!😎kama lako
Tulia mida ifike 😅3 consecutive days, sija pata dose ya macho ujue!
Nope siwezi kukukana au kukukataa mchuchu .😭😭😭unanikana mchana kweupe
😅😅😅 unyamwezi upi tena😎
Kwahiyo hapo najibu vpMerci! Ozali mwasi kitoko.
Tafsiri: Asante! Wewe ni mwanamke mzuri.
Utanipa ka unavyo nipaga ehh 😅Tulia mida ifike 😅
Nakuona tu umenikataa mbele ya Babu 😭Nope siwezi kukukana au kukukataa mchuchu .
Nasema ukweli tu mamsapu ,😅
Ewaaaa 😊Utanipa ka unavyo nipaga ehh 😅
Sio violence, viporo na maandazi 7 sio mlo 😅Hii ni vawulensiii na wenye matumbo bila watoto
Sweetie Chica Gee magical girl njoo uchukue maua kwa mshkaji
Macho ya goroli na flat tummy, 😅😅😅😅 unyamwezi upi tena😎
Umeanza na Chai zako 😅😀twende kule kwanzaMacho ya goroli na flat tummy, 😅