CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

CHUMA CHAKAVU: "Mishangazi" Mjini

Huyu Dad kwa miaka 30 kuita mshangazi hii ni chai 😁

Hongera kwake binti kiziwi nilimuona selfika ni mrembo na nusu😍

Maana ya T 3
1. Titi/Ziwa /nyonyo liwe limejazia
2. Tumbo liwe kubwaa
3. Tako / kalio /kigoda liwe la haja
🤔 Ujue nilikuwa najua hii ID ni mpya! 😅

Ila nikawa nashangaa namna you speak my mind muda mwingi kwenye comments, mara nyingi our thoughts are the same 🫶🏻
 
Umri sio kigezo cha kupewa Cheo cha Ushangazi.

  • Gari (Sio unapanda Daladala)
  • Pesa (Mtonyo wa maana)
  • Mwili.. (Sio ukienda kupima una kg 50 kama Kuku)

* Nafasi za juu ktk ajira yake (CEO , Director , Manager etc) anatakiw ni mtu wa kufanya maamuzi..

Tuanze na hizo kwanz
 
Mshana, mishangazi yako hua ni real au Ai.
OG tupu
ea667bd5-c9ed-4d61-8f38-c33cf63bf8ac.jpeg
3f27addb-a9ec-4a98-85ef-5db0844384f6.jpeg
 
Umri sio kigezo cha kupewa Cheo cha Ushangazi.

  • Gari (Sio unapanda Daladala)
  • Pesa (Mtonyo wa maana)
  • Mwili.. (Sio ukienda kupima una kg 50 kama Kuku)

* Nafasi za juu ktk ajira yake (CEO , Director , Manager etc) anatakiw ni mtu wa kufanya maamuzi..

Tuanze na hizo kwanz
03943a2c-f080-4160-9c4b-9f8c104c4180.jpeg
 
Back
Top Bottom