Subiri sasa tuwaone wanavotaga
No6 huwa natumiaga nikienda sehemu nimebanwa halafu nikikuta choo cha kukali then wachafu napiga hiyo ya kikamanda
Kuwa makini usije kudumbukia....
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hahaha unapiga stendi ya ukweli!
Ulijuaje?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hakuna number yangu hapo
Namba 8 ana hatari sana, maji yatakuwa yanaruka kila atakapoangusha mzigo, sipati picha