Choose your position

Choose your position

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
1920565_628322777223072_1167122381_n.jpg
 
No6 huwa natumiaga nikienda sehemu nimebanwa halafu nikikuta choo cha kukali then wachafu napiga hiyo ya kikamanda
 
No6 huwa natumiaga nikienda sehemu nimebanwa halafu nikikuta choo cha kukali then wachafu napiga hiyo ya kikamanda

Kuwa makini usije kudumbukia....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Namba 8 ana hatari sana, maji yatakuwa yanaruka kila atakapoangusha mzigo, sipati picha
 
Namba 6 ipo kiafya zaidi kwenye choo usichokiamini, nilikuwa naitumiaga sana nilipokuwa chuoni IFM.
 
Back
Top Bottom