Choose your position

Choose your position

Mkuu sisi waswahili tafauti na haya masinki sisi ni vya mashimo kwa sababu kila kitu huwa tunatumbukiza hata vichanga pia
 
avatar136759_4.gif


WAHEED SUDAY, hapa napo unakosa position? Kibo10 jaribu hizi kama suala ni usmat.
utafiti hiyo yako iko siku watu watakuflash.
 
Last edited by a moderator:
Zaidi # 1 hiyo # 6 ni public area a sehemu siaminishi usafi halafu nimeshikika
 
no 6 niliitumia sana nilipokuwa mtoto ha ha ha sasa hivi no 1 kwa kwenda mbele
 
Hahahah,,mm hvyo vyoo vya hivyo siwezagi kuvitumia kabisaa!
 
Ulijaribu?
Kwa macho tu inaonekana hata bila ya kujaribu, wewe hata leo jaribu kuchuchumia usikae kwenye RIM la choo halafu uone maji yatakavyoruka, sasa huyo aliyodandia juu kabisa unategemea nini!

Tena hatari nyingine hapo namba 8 - bora mzigo uwe mgumu kuliko ukiwa laini nina uhakika cheche zitatapakaa kila kona hadi sakafuni
 
Back
Top Bottom