Choose a dedication to your beloved jf member...!!!

Choose a dedication to your beloved jf member...!!!

Hahahahahahaha hivi kumbe ulitaka twende wote?? Sasa mbona ukajifanya unaendelea mwenyewe?!!

Sasa Al-shabaab huyu kafanyeje tena? halafu una hadithi ya kunipigia ujue...

nilijiona sifananii.........nilitamani ghafla niwe Ms Kalashnikov wa M23...........

busati lispo kwa ajili ya kukaliwa na kuhadithia.......!!!
 
Laiti ungejua tayari niko PM ungekuja fasta tupange mipango mkakati. Sitoki huku mpaka uje. Liwalo na liwe.

sio tumalize hapahapa? grand amour alitaka mambo yawe hadharani yote, halafu kweli mwenyewe hajapewa namba yoyote me naanza nakupa 7. Jamani wengine mje kumpa mtoa uzi maana umenoga.
cc@madame b watu8 Mentor mwekundu The Boss mimi49 @ asprin nisije sahau kukutaja bure. na wengine jamani
 
Last edited by a moderator:
Afu mbona mie huniiti mpenzi? Unajua mi nnaionea wivu hata hiyo andawea ulovaa?

Mi nakasirikaga sana mimi. Na usiponiita mpenzi nikifa usinizike.
Asprin kwani tangu uje humu hakuna wa kukuita hvyo? ahhh nilisahau mpenzi Asprin maana si dalili nzuri kugomewa kumzika mtu mpm hv
 
Last edited by a moderator:
Tema mate chini tumchape.....

Namtafuta wa kunifurahisha sijampata. Nliyekuwa namtegemea ananiumiza tu. Nimfanyeje?

umpate mara ngapi.........

yaani kila nikiwaza kile kitu nabaki kucheka mwenyewe
 
umpate mara ngapi.........

yaani kila nikiwaza kile kitu nabaki kucheka mwenyewe

Hebu nikumbushe nami nicheke. Nshagundua nisipocheka minyoo tumboni inafanya sana ngono. Na si wajua minyoo haijui nyota ya kijani.

BTW kale kathread ketu nimekatafuta sikaoni. Nimekafanyia mpaka overtime lakini wapi.

Kuna mod kakaficha kwenye mkonosweta wake au??
 
Back
Top Bottom