House Wife
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 373
- 223
Mimi nakupa no.7 maana cku ile kule uliniokoa nisipotee kwa yule mtu.Nimejistukia kabla sijajibu. teh teh teh House Wife naomba msaada. Nijazieeeee.
Mimi nakupa no.7 maana cku ile kule uliniokoa nisipotee kwa yule mtu.Nimejistukia kabla sijajibu. teh teh teh House Wife naomba msaada. Nijazieeeee.
mwaaah
Likewise dear...watu8 likes you!!!:A S 11:
Mentor you know i 10 you......ni huyu anayelipua mahoteli!! afu siku ile mkaniacha........kweli?!?!? tukakutana mbele.....mkaniacha tena.........kweli?!?!? hata sijaamini!!!!
Asprin nakupa no.8 ila si kademu.Yani mpaka sasa hakuna hata kademu kalikonidediketia kanamba. Namba tu imekuwa nongwa ingekuwa naniliu?
Unyanyapaa kwa wazee huu walah
sante sana wajii, love you!!!!
The Boss na huyu tena? vp mkuu?
Lol..............ha ha ha ha!!ha unataka tukamatwe nini!!
HAHAHA House Wife, hauniogopi na hii binduki? yaani mie ni zaidi ya mdada alietusuliwa tra, shauri yako:fencing:
nmeshagaili mbona hamna dedication kwa "mpango wa kando?" cc Christine ibrahim
Asprin nakupa no.8 ila si kademu.
ngoja nitakutafuta mtaa wa pili basi...au sio!
Nashukuru sana mpenzi kwa kunikumbuka,nasikia raha ile mbaya!pole sana mkuu Asprin!4... Ben Saanane.... tedo, Remote, TUKUTUKU, Shark, kandukamo1 and Himidini.
No 12... Asprin to avoid :mimba:
kwa leo salamu zangu zimfikie my best friend HorsePower huko aliko. Namba 1 and 7 for u brother!
Than mummy....and no. 1, 4 and 7 Special for you christine ibrahim, House Wife, and mahipsi baby.
Nawapenda sana.
Nashukuru sana mpenzi kwa kunikumbuka,nasikia raha ile mbaya!pole sana mkuu Asprin!
Mkuu Ben Saanane mimi na wewe sasa kwenye kapu moja!
hahahah Asprin kumbe muogoga hv. mapaema yote hii unataka kujua mko wangapi?Ewaaa sasa na mimi najisikia kidume. Angalau kabaioloji kangu kanakomwaga mikojo miwili kamestuka. Kwa furaha nliyonayo nakutupia namba 11 ili kikaeleweke na namba yako ulonipa.
Swali ni hili, itakuwa lini na tuko wangapi?
hahahah Asprin kumbe muogoga hv. mapaema yote hii unataka kujua mko wangapi?
Biology twafanana ndugu japo me mzee. Ebu panga wewe me ntarespond bila shaka.