Hehehehehe! Walipe bwana, ndio maana aunt mnanipunja hela ya matumizi kumbe umekopesha watu.
Umemuona Superman?
Teh ngoja nikamtafute nitonye nimlete akusaide maana nilimuona km kapata hela leoAlaaa kumbe?? Sijalifahamu hilo Erickb52, deni limenichanganya! Nikopeshe niondoe hii aibu!
Uko poa weye?
sijamuona. Yeye hakopi kopi. Lol.
Hahahahaaaa bora mi nimeshayalipa....hivi Nitonye Humdai kweli zile cret za Banana alizokopa?
lol..... My niece naona uko kujidai sababu tu nimekusamehe eeeh? lol.... Usijali watalipa tu! Mbele ya Kongosho na Ritz na short gun ya ODM.... WATALIPA!!
Nyumbani kuko salama?
Hakopi kwa sababu anazika hela za watu
Tatizo hata wifi yako kumtoa kwa Nitonye ni ishu...yan kafa kaoza etiNitonye mjanja.... Alitoka na Sweetie... akamhonga Apple wine sijui chupa ngapi tu deni lake likafutwa... Mwambie nina hasira... Kwanza aache kumumendea my Sweet wifi Sweet Lady....
unachafua cv ya superman. Sipendi kuona kabisa.
Usimlete manake alishanikataza kukopa mie nkakopa kwa siri...Teh ngoja nikamtafute nitonye nimlete akusaide maana nilimuona km kapata hela leo
Umehongwa wewe
Kweli sio bure, anamtetea tapeli mbele ya kadamnasi, macho makavu kabisa. Kumbe hujalipwa kahongwa husninyo??Umehongwa wewe
Huyu kaaibisha sana swahiba, hebu mlipie kwa hasira...lolHalafu boss haoni aibu kudaiwa elf 20!! Lol.
Teh halafu namshangaa Ashadii kamsahau wakati deni lake ni kubwa kuliko la NNUsimlete manake alishanikataza kukopa mie nkakopa kwa siri...