GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Nina vijana 5 ambao nimewapata sehemu mbalimbali kama wadogo zangu. Wawili kutoka JF. Elimu ni kuwa, watatu wana Degree, mmoja Diploma na mwingine Certificate.
Hawa tumeongea mambo kadhaa ya msingi na kuafikiana kuwa niwapatie Mtaji wa Tsh 1,000,000 kila mtu akafanye biashara. Warudishe ndani ya miezi 6 kama ilivyo no riba/interest.
Swali, Nahitaji pia kushauriana nao zaidi. Ni biashara gani mtu anaweza fanya kwa mtaji wa milioni 1? Akapata faida kiasi na kurudisha pesa angalau 200,000 ya deni au 1 point something?
Naombeni muweze wasaidia hawa wadau na kunisaidia mimi pia.maana sina lengo la kupoteza hizo pesa. Naamini kuna watu wenye mawazo chanya. Wawili kati ya hao wanatoka mikoani kuja kuishi Dar. But hiyo million 1 inabaki kuwa ndo Initial Capital. Kila mtu afanye nini?
Kama individual.
Hawa tumeongea mambo kadhaa ya msingi na kuafikiana kuwa niwapatie Mtaji wa Tsh 1,000,000 kila mtu akafanye biashara. Warudishe ndani ya miezi 6 kama ilivyo no riba/interest.
Swali, Nahitaji pia kushauriana nao zaidi. Ni biashara gani mtu anaweza fanya kwa mtaji wa milioni 1? Akapata faida kiasi na kurudisha pesa angalau 200,000 ya deni au 1 point something?
Naombeni muweze wasaidia hawa wadau na kunisaidia mimi pia.maana sina lengo la kupoteza hizo pesa. Naamini kuna watu wenye mawazo chanya. Wawili kati ya hao wanatoka mikoani kuja kuishi Dar. But hiyo million 1 inabaki kuwa ndo Initial Capital. Kila mtu afanye nini?
Kama individual.