AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Habari wana JF.....:eyebrows:
Iko hivi Hapa JF nafanya biashara ya kukopesha pesa za akiba za familia ambayo ni joint account kwa members wa JF alafu wanalipa na riba kidogo. Nikiwa mama wa Nyumbani hio ni moja ya njia rahisi ya kujiongezea kipato bila mzee kujua. Well yalo nikuta ni kuwa Mwezi jana baada ya Kukomba pesa kwenye account nimekopa Laki 7 kwa hawa wadau wa mikopo mitaaani nikazikopesha kwa wana JF wengine kwa dau kubwa zaidi , Nikitarajia wana JF watanilipa pesa zangu within time kilichotokea wadau wananikwamisha kwa visingizio kibao! Jamani Jamani .. Wametishia weekend hii kuja safisha kila kitu kwenye nyumba yetu ya ghorofa tatu na kuchukua kila kitu!
JAMANI . Kumbukeni humo ndani thamini ni kubwa mno ya vyombo kuliko deni .. Mtanisamehe kwa kuwaaanika Nawaomba wooote ninao wadai rudisheni pesa ASAP. Na kuhakikisha zoezi laenda nataja majina na Deni. Mtanisamehe kwa kuwaanika . Undugu pembeni kwanza . Nahakikisha namaliza soo bila Sweetie kujua kabisa lililojiri . Hii thread by default inasomeka Kingasti ndo kapost.
WANAWAKE
First Lady.................. 345,000/=
Sweet Lady ................ 700,000/=
Mwali ..................... 200,000/=
BelindaJacob ............... 150,000/=
Roulette ................... 79,000/=
Cantalisia .................. 399,999/=
Chauro ..................... 100,000/=
Smile........................ 2,000,000/=
Black womani........................ 70,000/=
Kabakabana .................. 50,000/=
Husninyo .................... Nimekusamehe umefanya kazi nzuri lol
Preta ....................... 150,000/=
Mayassa ..................... 468,989/=
Mwanajamiione ................ 320,000/=
Michelle ....................... 76,000/=
Mamndenyi ...................... 320,000/=
Obsesed ....................... 100,000/=
WANAUME
MTM .......................... 1,000,000/=
Rev Masanilo .................. 750,000/=
Invisible ...................... 950,000/=
Rejao .......................... 500,000/=
RR ............................. 350,000/=
Mtambuzi ........................ 100,000/=
Ndetichia ........................ 568,000/=
Ndahani ........................... 850,000/=
Nyani Ngabu ...................... 3,200,000/=
Kivumah ........................... 650,000/=
Boss ............................... 20,000/=
MAMMAMIA ........................... 300,000/=
Finest ............................. 500,000/=
Paka Jimmy ......................... 250,000/=
X-Paster ................................................... Yaani naogopa hadi kutaja.... Dah!
Klorokwin & Uporoto .................. 3,000,000/= (Msishangae! Riba hio)
Nina mwanasheiria wangu kabisa hapa namely WoS akisaidiana na EMT .. nimewakodi baada ya kugundua JF lawayer Kloro kanitapeli nae. Nina body guard wangu hapa wawili namely Ritz na Kongosho . Hivo hamnibabaishi .. Hapa karibu pia nina Darling shem akiwa na short gun kwa yeyeote atae resist .. Of coz haruhusiwi kuua ila kujeruhi tu!
P.S.
Kwa wale ambao sijawataja . Naomba msijifariji. Sema tu siku yenu ya malipo bado . Na wengine mmeshatoa taarifa kua mtalipa kabla ya weekend.
Of couse . Niliwa Miss saaana . Ila dawa ya deni ni kulipa!!!!!
Pamoja Saaana.
ADI.