Chonde Chonde Mwigullu na Wake za Wenzio Igunga!

Chonde Chonde Mwigullu na Wake za Wenzio Igunga!

Huna lolote mtetee mzinzi mwenzako si ndio zenu.

Hahahahahahahaha..nadhani Dr Slaa amekusikia Loud and clear.

Kweli akili yako kama signature yako .A great thinker hawezi kuja na signature hiyo , this is Mwiguku type yaani ma akili mengine sijui vipi .

Wewe mwanamke au mwanaume? nata ku demonstrate nguvu ya supu ya pweza na konyagi ila kama ulikuwepo TGNP jana nitashindwa.
 
Makamanda tumewatuma igunga mtuletee habari live bila chenga...tafadhari tutumieni hizo picha za huyo jamaa akiwa anakimbia huku ameshika kidaka mkojo mkononi.
Ila naomba msionyeshe nyeti zake
 
mnh hii habari sijaona source yake kama mleta mada alikuepo siku ya tukio hajatuambia...................Unafki huwa sipendi
 
mnh hii habari sijaona source yake kama mleta mada alikuepo siku ya tukio hajatuambia...................Unafki huwa sipendi
Source ni Rajabu mwenyewe ambae ndie mwenye Mke na ni mwenzetu pia hapa mtaani. Pamoja na hatua nyingine, tunatafakari kwenda kumpeleka Rajabu mpaka kwa Mkewe Mwigullu huko aliko ili tuangalie uwezekano wa kumuudhi na yeye
ili tuone kama ataweza kuendelea na kampeni, subirini mtasikia!
 
kwani alim baka?&lt;br /&gt;<br />
si wote wau wazima wanajua wanachokifanya?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hivi tukianza msako wa nani mwaminifu na nani sie,nani atabaki????
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kutokuwa waaminifu kwa baadhi hakuhalalishi wengine kufanya makosa, ebo!
 
Sasa hamna hata picha ya mke wa Rajabu ambaye amejeruhiwa vibaya kama taarifa inavyosema!
 
Nina uhakika asilimia 100 huyo aliechukua mke wa Rajabu atakua Dr. W. P. Slaa(Phd) kwani ndio desturi yake! Dr Slaa nakuonya uache mchezo huo wa kuvuvuzela wake za watu! Acha kabisa!
 
Hapa napita tu kama sipaelewi vile!
 
Huyu mbwa aliyeharibu ndoa ya watu abobolewe na mawe. Vijana wa ccm walikosea kumwagia yule kijana tindikali badala yake wangemmwagia huyu mbwa ingekuwa safi sana. Kama wanamfahamu na kama ccm hawatamwondoa kwenye kampeni wammwagie petrol na kibiriti akafie mbali.
 
Si wangemlawiti?
Magazeti yangeuza sana."
 
Nina uhakika asilimia 100 huyo aliechukua mke wa Rajabu atakua Dr. W. P. Slaa(Phd) kwani ndio desturi yake! Dr Slaa nakuonya uache mchezo huo wa kuvuvuzela wake za watu! Acha kabisa!
Wapuuzi mko wengi,inaonyesha kuwa wewe mkeo/mumeo ukisikia kiongozi wa CCM anamkanyaga kwako ni sifa na keshoye unamwambia rudi huko tena. Hii ni aibu kwa magamba usichanganye mambo kijana.
 
Hapa game tu! Burdan baada ya camp, onyo nyie wenye wake/wachumba kwenye camp za magamba anzen kutumia ARV kabisa manake jamaa wanapiga live band (bila condom)
 
Jamani hii habari mbona mnatuacha njia panda?
 
kwani alim baka?
si wote wau wazima wanajua wanachokifanya?

hivi tukianza msako wa nani mwaminifu na nani sie,nani atabaki????

Kumbuka kuwa kiongozi ni jukwaa linalozungukwa na kila mmoja. Jambo hilo lingetendwa na mmoja wa green gards lisingekuwa na uzito kama huo. Lakini kiongozi wa juu tena ngazi ya taifa uadilifu ni mwenendo bora wa uongozi, na ndio maana kuna mengi ya kuangalia nani anafaa kuwa kiongozi. Tusipokuwa makini katika mambo kama haya kesho tutashtukia kiongozi anajambia kuwadhuru anaowatumikia.
 
Ebo!ccm nako kuna kamchezo hako! wengine tulihama CHADEMA kutokana na mambo haya haya ya wakubwa kuchukua wake za watu...hivi vyama vina matatizo gani lakini?huyu pepo mbaya wa kutamani wake za watu wadogo katoka wapi?hapo ukawii kusikia mwigullu nae anamuoa huyu mwanamke na anapewa cheo ccm kama alivyofanya mzee Slaa.whats wrong with these folks!!!!!!!!!!!
 
wana wake nao ni kama nini sijui ni tamaa au ni kuishiwa akili hili jimama nalo ovyooooooooooooo + Mwiguluu
 
Back
Top Bottom