Maisha yetu yamekua magumu haina haja tena kumiliki hizi takataka, na kila mwenye nayo aichome moto ili tuwe wasafi tunapoenda kuanza harakati za kupigania/kudai uhuru wa pili wa watu wa Jamhuri ya Tanganyika.
watu wetu wamechoka sana, kwakweli wanahitaji ukombozi wa pili , wanahitaji kupambana kuondoa mfumo legelege wa ccm ambao umewaletea madhila yote haya.Duuuh! hii kali!! Hivi hasira hizi zilizojaa kwenye vifua vya watu siku zikitoka nje kuna kitu kitabaki?????
siku hiyo RZ 1 ATAJUA ANA WASHKAJI WANGAPIDuuuh! hii kali!! Hivi hasira hizi zilizojaa kwenye vifua vya watu siku zikitoka nje kuna kitu kitabaki?????
nguvumali, hasira za nini?, hasira hasara!.Maisha yetu yamekua magumu haina haja tena kumiliki hizi takataka, na kila mwenye nayo aichome moto ili tuwe wasafi tunapoenda kuanza harakati za kupigania/kudai uhuru wa pili wa watu wa Jamhuri ya Tanganyika.
Pasco,nguvumali, hasira za nini?, hasira hasara!.
Kwanza sio ustaarabu kuchoma moto kadi ya chama chochote, huu ni uhuni!.
Pili hata ukiichoma, chama kilichokupatia hiyo kadi, kitaendelea kujivunia uanachama wako maana jina lako linakuwa bado lipo kwenye register ya yao ya wanachama, hivyo the right forum ni ama kujitoa kwa kuwarudishia kadi yao, ama kujiunga na chama kingine kwa kuikabidhi hiyo kadi huko kwingine na hivyo kuwa sio mwanachama wa chako chako.
Angalizo, kwenye siasa, hakuna urafiki wa kudumu wala uadui wa kudumu, wako wengi kama wewe walkiofikiri siasa ni shibe, hivyo walikasirika na wakahama kwa mbwembwe na majigambo kibao, siku ya siku, njaa zikawazidia huko walipo na ni kwa kuendekeza hizo njaa zao, wakarudi walikotoka na sasa ni wapayukaji wakuu huku wakichumia tumbo!.
mkuu hii yako kali.ukiichoma husikii harufu mbaya ya gamba.......???