KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,150
- Thread starter
- #21
chadema imejiandaa kuiba kura?
Asset haikutosha
Liability pia haijatosha
Kujiuzulu ndio ustaarabu kama mtu hawezi kutekeleza maamuzi halali.
Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani **whether he will bring development or not we will choose obama to show the world that America is for everyone.,na sis tunasema,whether he will bring development or not we will choose LOWASA from UKAWA to show the world that Tanzania is for every one, not ccm only. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyee,,
Asset =capitat+liability,asset and liability si vitu tofauti bali liability iko ndani ya asset kwa maana hiyo hata dr kachemka
chadema imejiandaa kuiba kura?
Khaa Nyie kina nani?nikweri lakini wetu loooowasa
tunachotaka ccm dauni ndo lengoletu
Khaa!! Taratibu rangi zenu halisi zinaanza kuonekana. Hadi ikifika 25 Oct wapigakura tutakuwa tumewajua vizuriItabid tuseme msemo mmoja wa marekani **whether he will bring development or not we will choose obama to show the world that America is for everyone.,na sis tunasema,whether he will bring development or not we will choose LOWASA from UKAWA to show the world that Tanzania is for every one, not ccm only. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyee,,
Aje tu tujue mbinu ili tuweze kuzuia
duuh tupate na wataalam wa gesi mafuta madini na kutengeneza nyumbu basi sio kila siku sifa za kijingaHoja za kipumbavu kabisa, Eti mtaalamu wa kuiba kura!! Vichekesho hivi!!
![]()
![]()
kampeni za kijiji kwa kijiji....
wakazi wa kijiji kidogo cha Nandembo wakiwa wamejazana barabarani kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli aliyekuwa njiani kuelekea Masasi.
![]()
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa Songea mjini waliofurika kwenye uwanja wa Maji Majikumsikiliza wakati wa kujinadi kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
Kwa elimu yake yuko sawa, huyu ni DR. wa kwaya.Asset =capitat+liability,asset and liability si vitu tofauti bali liability iko ndani ya asset kwa maana hiyo hata dr kachemka
Khaa!! Taratibu rangi zenu halisi zinaanza kuonekana. Hadi ikifika 25 Oct wapigakura tutakuwa tumewajua vizuri![]()
Kwa hiyo Chadema mwaka huu nao wataiba kura?
Mtaalam wa kuiba kura? Alisomea wapi?