Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,084
Kwa hiyo Chadema mwaka huu nao wataiba kura?
Kichekesho cha mwaka...
Kwa hiyo Chadema mwaka huu nao wataiba kura?
![]()
![]()
kampeni za kijiji kwa kijiji....
wakazi wa kijiji kidogo cha Nandembo wakiwa wamejazana barabarani kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli aliyekuwa njiani kuelekea Masasi.
![]()
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa Songea mjini waliofurika kwenye uwanja wa Maji Majikumsikiliza wakati wa kujinadi kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
Ni kweli gari limewaka na limeondoka, lakini hilo gari linaelekea korongoni tena kwa kasi ya ajabu likiwa halina break na dereva wake amelewa mbaya. Dr Slaa anawatahadharisha abiria waliopanda hiyo gari, wenye kuruka wataruka, wasio taka kusikia ni msiba mkuu kwao.kamaivi
Kwa hiyo Chadema mwaka huu nao wataiba kura?
Wanaweza kutumia maarifa toka Chizi kuthibiti wizi was kula. Huwezi kupambana na uhalifu km hujui unavyofanyika! Waulize wanaosoma criminology watakueleza.
Asset =capitat+liability,asset and liability si vitu tofauti bali liability iko ndani ya asset kwa maana hiyo hata dr kachemka
Khaa!! wewe na nani?Sema mpiga kura sio wapiga kura. Tunaimani kubwa sana na Lowasa.
Hizo barabara za udongo na vumbi ndio barabara alizojenga Pombe Magufuli na ndio maendeleo ambayo CCM imepeleka huko vijijini?![]()
![]()
kampeni za kijiji kwa kijiji....
wakazi wa kijiji kidogo cha Nandembo wakiwa wamejazana barabarani kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli aliyekuwa njiani kuelekea Masasi.
![]()
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa Songea mjini waliofurika kwenye uwanja wa Maji Majikumsikiliza wakati wa kujinadi kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
Receive big LIKE ✌🏿️Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani **whether he will bring development or not we will choose obama to show the world that America is for everyone.,na sis tunasema,whether he will bring development or not we will choose LOWASA from UKAWA to show the world that Tanzania is for every one, not ccm only. Tuma ujumbe huu kwa wadau wasiopungua hamsini ili kuleta mabadiliko ya kweli. Lowasa oyee,,
Hizo barabara za udongo na vumbi ndio barabara alizojenga Pombe Magufuli na ndio maendeleo ambayo CCM imepeleka huko vijijini?
"Watanzania ni kichwa cha mwendawazimu."
Huko amewapa ahadi ipi? Au ametoa ahadi zipi?
tafute dictionary ucheki maana yake,usijichanganye na terminologies za uchumi.Dr yuko sahihi kabisa.Liability tunaitumia zaidi ktk mpira.Unamkumbuka Blackett wa Manchester United?yule tulikuwa tunamwita liability kwasababu kila akicheza lazima atafungisha.Carrick ni asset kwasababu kila anapocheza anaisaidia Manchester United kupata ushindi.Kama hujaelewa na hapo basi.Asset =capitat+liability,asset and liability si vitu tofauti bali liability iko ndani ya asset kwa maana hiyo hata dr kachemka
Kwa hiyo Chadema mwaka huu nao wataiba kura?
Vijiji vumbi mpaka kwenye mapaa ya nyumba, Kasema atapunguza bei ya sementi, na mabati...sijui tangu lini raisi akapunguza bei za vitu! Bei zinajiadjust zenyewe kuendana na supply na demand!
KWA KUONDOA KODI NA KUTOA RUZUKU(subsidy
) KM UJUI KALALE