Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,484
Vijiji vumbi mpaka kwenye mapaa ya nyumba, Kasema atapunguza bei ya sementi, na mabati...sijui tangu lini raisi akapunguza bei za vitu! Bei zinajiadjust zenyewe kuendana na supply na demand!
Hapa umetudanganya kama tukiweza kuwa na viwanda vinavyozalisha kwa manufaa bei inaweza kushuka.
Na kama tarrifs zikipungua pia bei yaweza kushuka.
Pesa ikipanda thamani pia bei za bidhaa zinaweza kushuka.