BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,058
Hahahha ahahha hahha,
Kaka yangu mtu chake huku raha sana hasa ukiwa na mwenza,utamu wa huku tunaujua wa huku huku tu!
Cantalisia shemeji yangu...hujambo bongolala?...bongolala mwenzio niko super...jitahidi boss wako asijue kuwa ww ni bongolala...utapewa kimemo!
Last edited by a moderator: