JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,035
- Thread starter
- #261
makofi na vigelegele tafadhali
aaah... Masalia... :coffee:
makofi na vigelegele tafadhali
Huwezi kunielewa kwa kuwa wewe sio wa zizi hili..Karibu zizini...lakn sio kosa lako umeathiriwa na yule maria sijui.....sikuelewi wala haueleweki ng'oo
makofi na vigelegele tafadhali
Huwezi kunielewa kwa kuwa wewe sio wa zizi hili..Karibu zizini...lakn sio kosa lako umeathiriwa na yule maria sijui.....
heee.... Ka ndege kangu kaleee
Kuna mkaka anaitwa Marry Hunbig, msajilini naye
Naona dalili ya mwingine kuaga, ana malizana na mtu kwenye PM
hah! nani kaunda hujuma kuihujumu UMACHI? (UMOJA WA MABACHELA WA CHITCHAT)
Hapo kwenye red ni Yesu..mi nimeshamaliza kibarua changu... Bwana yesu asifiweee.... Nipokee sasa katika mtima wako bibie
hah! nani kaunda hujuma kuihujumu UMACHI? (UMOJA WA MABACHELA WA CHITCHAT)
Niandikishe na mimi asee. Naomba na namba yangu ya usajili fasta.
Hapo kwenye red ni Yesu..
Bado hujaiva..mtima wangu huuwezi..Nenda kauze kwanza vyote ulivyonavyo......
:A S-confused1: Naweza pageuza CC kuwa kama Hiroshima / Nagasaki
Nazidi kuperuzi macho yana ukungu wa hukooo
kuna mtu namtafuta.