Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,842
Naomba tusaidiane ktk hili ili nipate ujuzi wa kubana matumizi, ivi unawezaje kuishi Kwa kipato cha million mbili Kwa mwezi ilihali mm hiyo pesa Sina mke Wala mtoto lkn inaisha kabla ya tar mosi au labda anasa ni nyingi na sehemu za starehe za gharama zinaniponza
Nahitaji huu mwaka nijibane ili niwe na nidhamu ya fedha. Asanten sana
N. B. napokea ushauri Kwa wote isipokuwa walimu kaeni mbali na mimi siwataki
Nahitaji huu mwaka nijibane ili niwe na nidhamu ya fedha. Asanten sana
N. B. napokea ushauri Kwa wote isipokuwa walimu kaeni mbali na mimi siwataki