China yanyonga hadharani wanasiasa 26

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,621
Reaction score
4,311


China yanyonga hadharani wanasiasa 26 ambao ni wabadhilifu wa Mali za umma (Mafisadi).

Mafisadi hao walihukumiwa kifo cha kupigwa risasi uwanjani hadharani watu wakishuhudia baada ya kubainika kupora Mali ya umma. Inadaiwa kuwa yumo bilionare namba saba wa China.
 
kama watu wanajua kuna kunyongwa lkn wanaiba tu, vipi huku ambapo hata wanaojiona mbadala wa serikali RUZUKU tu kuimanage ni wiziwizi.

Nimegundua wizi hauwezi kuisha ila utapunguzwa tu maana SIJAWAHI kumuona Legally confirmed Fisadi japo pesa zinaendelea kupotea.
 

Mkuu ungeweka video ingependeza zaidi aisee.
 
Ila adhabu hii ni kali sana....
Mataifa yote yasiyo na Democratisia raia wake huwa ni wakatili sana na hawana utu,sababu hawajafundishwa misingi ya utu na Upendo wa kuwathamini wengine. Angalia waarabu na wachina hawaachani tabia za ukatili.Kwa Asia angalau wajapani na Wakorea kusini ndo angalau wako civilized wanao utu
 
Hiyo sheria ikija kwetu huku,tutabaki wachache sana...
 
Labda wanapunguza population who knows [emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…