ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,578
Ingependeza sana pamoja na nyoka mwenye makengezaHivi mbowe na genge lake hatuwezi wapeleka huko?
Ingependeza sana pamoja na nyoka mwenye makengezaHivi mbowe na genge lake hatuwezi wapeleka huko?
Wadhungu wanawaonea sana waafrika walahi!Hapo
Hapo ndipo utaona ubafiki wa wazungu, hutasikia kiongozi wa China anapekekwa ICC.
Huku wanalamba Hadi tillioni 1.5 kwa mwaka mmoja aibu sana[emoji17]kama watu wanajua kuna kunyongwa lkn wanaiba tu, vipi huku ambapo hata wanaojiona mbadala wa serikali RUZUKU tu kuimanage ni wiziwizi.
Nimegungua wizi hauwezi kuisha ila utapunguzwa tu maana SIJAWAHI kumuona Legally confirmed Fisadi japo pesa zinaendelea kupotea.
utu wa nini kwa mwizi? anapoiba kuna watu maskini wanakufaMataifa yote yasiyo na Democratisia raia wake huwa ni wakatili sana na hawana utu,sababu hawajafundishwa misingi ya utu na Upendo wa kuwathamini wengine. Angalia waarabu na wachina hawaachani tabia za ukatili.Kwa Asia angalau wajapani na Wakorea kusini ndo angalau wako civilized wanao utu