Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 882
- 1,909
Mfano kwa mijizi yote
Yeah ndio nzuri lkn nasubiria source ya hii story
Mataifa yote yasiyo na Democratisia raia wake huwa ni wakatili sana na hawana utu,sababu hawajafundishwa misingi ya utu na Upendo wa kuwathamini wengine. Angalia waarabu na wachina hawaachani tabia za ukatili.Kwa Asia angalau wajapani na Wakorea kusini ndo angalau wako civilized wanao utu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halali mtu hapa,, mkomalie mpaka kieleweke 😀😀😀
![]()
China yanyonga hadharani wanasiasa 26 ambao ni wabadhilifu wa Mali za umma (Mafisadi).
Mafisadi hao walihukumiwa kifo cha kupigwa risasi uwanjani hadharani watu wakishuhudia baada ya kubainika kupora Mali ya umma. Inadaiwa kuwa yumo bilionare namba saba wa China.
Huo ndio uongozi kwa hakika yaani mtubukipendekezwa kiwa kiongozi unalia na kusaga meno daadeki sio huku wanagombania space za ubunge mpaka yanalogana
Sasa nchi itakuwaje nchi bila watuNazungumzia watu sio nchi km nchi,
Kwani sheria ya kusema fisadi asiuwawe katunga nani kwenye hizo nchi ambazo ww unaziiita civilized na kinyume chake kwenye hizo nchi unazoziita non civilized? Kwani si watu hao hao kwa my oppinion naona china ndiyo maaana imepanda uchumi kwa kasi sana kwa kuwa wao wana uongozi thabiti marekani ya leo imechukua miaka takribani 300 kuwa hivi ilivyo na hapo bado mpaka sasa ni capitalist(inanyonya nchi ambazo ni 3rd world). from 1776 independent day to now on angalia china ni miaka mingapi kama sio 50---> na kutokea kuwa sawa kiuchumi na tanzania mpaka kuwa on par na marekani kwenye uchumi.kingine ni kuwa fisadi ni muuuuaji mkubwa kwa kuwaKwa kifupi, nchi inayotekeleza adhabu ya kifo hadharani bado haijaingia kwenye jamii ya wastaarabu. Utajiri si kitu mbele ya kukosa ustaarabu. Inaniwia taabu sana kuamini kuwa China ya leo hii inaweza kuendekeza mfumo wa kishenzi kiasi hicho. Walioendelea zaidi, hiyo adhabu yenyewe walishaiondoa kwenye msamiati wao. Na haijawahi kuwa suluhisho ukiachilia mbali unafiki unaoambatana na utekelezaji wake.
Serikali inatawaliwa na nani?Why CCM pekee?CHADEMA je?
Hii ndio stahiki yao we tilioni inapotea tu kama upepoIla adhabu hii ni kali sana....
Kwanza kabisa, Huhitaji kumuua binadamu hadharani kama jawabu la tatizo hilo. Pili, huko China kwenyewe na kwingineko, imethibitika kuwa adhabu hiyo hutumika zaidi kisiasa; kuwanyonga wapinzani wa serikali kwa kisingizio cha ufisadi. Usikimbilie tu kutoa nadharia nyepesi za kiuchumi kuhalalisha kadhia hii nzito. Sijui kama kweli unauelewa mfumo wa uchumi wa China ulivyo. Naona unautolea maelezo ya kienyeji tena marahisi sana. It is not that simple. There is no short-cut to real human development.Kwani sheria ya kusema fisadi asiuwawe katunga nani kwenye hizo nchi ambazo ww unaziiita civilized na kinyume chake kwenye hizo nchi unazoziita non civilized? Kwani si watu hao hao kwa my oppinion naona china ndiyo maaana imepanda uchumi kwa kasi sana kwa kuwa wao wana uongozi thabiti marekani ya leo imechukua miaka takribani 300 kuwa hivi ilivyo na hapo bado mpaka sasa ni capitalist(inanyonya nchi ambazo ni 3rd world). from 1776 independent day to now on angalia china ni miaka mingapi kama sio 50---> na kutokea kuwa sawa kiuchumi na tanzania mpaka kuwa on par na marekani kwenye uchumi.kingine ni kuwa fisadi ni muuuuaji mkubwa kwa kuwa
1.akifisadi fedha za madawa hospitalini watu watakufa kwa kukosa huduma stahiki hapo hajaua bado au kwa kuwa hajashika silaha tu?
2.akitafuna fedha ya vitabu na madawati mashuleni wanafunzi watashindwa kusoma na hii itapeleke kuwa na wajinga(illiteracy) wengi mno kuliko waliosoma hii inapelekea uchumi kushuka na nchi kukwama kwa kukosa wasomi.
Yako mengi ila kiufupi KABLA HAUJATOA POST JARIBU KUANGALIA KWA JICHO LA TATU NA KUCHAMBUA MAWAZO YAKO MKUU sio unakurupuka kupost kwa kuwa hauzuiliwi na mtu.
Hapo ndipo utaona ubafiki wa wazungu, hutasikia kiongozi wa China anapekekwa ICC.![]()
China yanyonga hadharani wanasiasa 26 ambao ni wabadhilifu wa Mali za umma (Mafisadi).
Mafisadi hao walihukumiwa kifo cha kupigwa risasi uwanjani hadharani watu wakishuhudia baada ya kubainika kupora Mali ya umma. Inadaiwa kuwa yumo bilionare namba saba wa China.
Hivi mbowe na genge lake hatuwezi wapeleka huko?CCM ni Nani atapona?
Kwa kweli kabisaWhy CCM pekee?CHADEMA je?