Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,621
- 4,311
China yanyonga hadharani wanasiasa 26 ambao ni wabadhilifu wa Mali za umma (Mafisadi).
Mafisadi hao walihukumiwa kifo cha kupigwa risasi uwanjani hadharani watu wakishuhudia baada ya kubainika kupora Mali ya umma. Inadaiwa kuwa yumo bilionare namba saba wa China.