If you are an academician, this is normal......short courses, International conferences, second degree, PhD, sabatical leave, Post doc training.......We mtu una degree ngapi na ulisomea nn kwenye nchi zote hizo?!!!
If you are an academician, this is normal......short courses, International conferences, second degree, PhD, sabatical leave, Post doc training.......We mtu una degree ngapi na ulisomea nn kwenye nchi zote hizo?!!!
Sio kweli wapo mateja na watu wasio na kaz wengi na wanalewa kwasababu ya depressionMasikini wengi ni mateja
🙏🙏🤝🤝If you are an academician, this is normal......short courses, International conferences, second degree, PhD, sabatical leave, Post doc training.......
Hadi huku Africa wanakuja kutafuta maisha.Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa china wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.
Hata wale homeless pale Americant wanatamani kuikimbia hio Americants yenyeweNimesoma na wachina nchini sweden, japan, USA and other western countries, wote wanataka kuzamia west and USa. Nipe sababu ya hilo
Lakini ni homelessHomeless wengi USA na ulaya ni mateja
Sasa mwaka jana sijui ama miaka kadhaa nyuma kama miwili au mitatu hao developed country walikua wanalia lia kwamba China iekwe hapo pia?Sija center maelezo yangu suala la kiuchumi njomba nmeongelea maeneo unayoweza kuishi na ukastawi bila bugudha na muingiliano rafiki na jamii. Ya uchumi ni kweli lakini china ni developing country sio developed. Ukibisha umeamua kubisha.
Hakuna wazungu wanaotafuta maisha afrikaHadi huku Africa wanakuja kutafuta maisha.
Sababu ya uteja na sio ukosefu wa jobLakini ni homeless
Kwahio watu zaidi ya 1M sijui 3M wale wote mateja na hawana pakukaa😀Sababu ya uteja na sio ukosefu wa job
Mateja,mashoga,wagonjwa wa akili,vibaka,walevi,wahamiaji haramu.Kwahio watu zaidi ya 1M sijui 3M wale wote mateja na hawana pakukaa😀
Bado sio sababu kwa nchi tajiri kua na idadi kubwa kiasi hicho chote cha joblessMateja,mashoga,wagonjwa wa akili,vibaka,walevi,wahamiaji haramu.
Hakuna homeless smart
Hizo ni tabia binafsi za waliohamua kwenda kinyume na maadiliBado sio sababu kwa nchi tajiri kua na idadi kubwa kiasi hicho chote cha jobless
Hata kama mtawapa majina mabaya gani
Maadili gani kama ushoga kwao ruhsa kabisaHizo ni tabia binafsi za waliohamua kwenda kinyume na maadili
Shida ya akili umfanya mtu kuwa homelessMaadili gani kama ushoga kwao ruhsa kabisa
Kama ugonjwa wa akili ni nature hua yanatokea
Jobless Americant ni tatizo
Kwamba wao pekee ndio wana machizi wengi duniani😀Shida ya akili umfanya mtu kuwa homeless
Watu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.
Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France[emoji632] nk.
Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa China wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.
Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
😂 😂 😂 😂 😂mnyang’anyeni simu atapost ujinga shauri yenu!!