Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,090
- 143,305
- Thread starter
-
- #81
I can understand that. Maana at that point haina maana yoyote ile kushindana kuongeza viwango vya asilimia.China wamesema hawataongeza tena maana haina maana. Tayari kwa ushuru wa 125% bidhaa za Marekani hazinunuliki China.
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.
Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.
Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.
145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.
Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.
Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.
Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.
Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.
Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
Ahsante kwa mchango wako 🖕.Mtu badala aandike kwa utalaamu, analeta majungu na kashifa zisizo na maana. Sasa umeandika au unaleta umbea???
Mtu badala aandike kwa utalaamu, analeta majungu na kashifa zisizo na maana. Sasa umeandika au unaleta umbea???
Shida ni hizi tamaduni za kigeni zilizo badilishwa jina na kuitwa dini zinafanya watu wasiwe na sense of reasoning kabisa.Nahisi Tanzania tunaweza kuwa top 10 ya watu wenye uelewa mdogo wa mambo Duniani, kila tukio huku linachambuliwa kishabiki.
He is the graduate of the muslim religious school commonly known as The Madrassat. Their curriculum is largely influenced by the dogma inherent in their holy scripture thus contributing to their reasoning capacity to be very shallow to say the least.Una kiwango gani cha elimu wewe?
Njia mbadala unayofikiria wewe ni ipi tofauti na hii au unataka wapigane vita vya silaha.Sikutegemea kama USA ataanzisha haya mambo, Mimi naichukulia USA kama taifa namba moja kubwa sana, ina maana wamekosa njia zote za kupambana na mchina na kufikiria hii?
Kama kajibu basi yuko vizuri! Hivi kwanini trump kafita tarrif kwa wengine kaacha kwa china? Je kaona mziki umekua mgumu?145 vs. 125.
Hiyo inaakisi nani ni wa kwanza na nani ni wa pili.
I can understand that. Maana at that point haina maana yoyote ile kushindana kuongeza viwango vya asilimia.
Ni utoto flani hivi.
Just waiting to see who will blink first.
Hawa viongozi wa Africa ? Ht uwaoeleke wake miaka 5 hakuna Cha maana watafanyaSio tu wote mpaka serikali yote ningekuwa na uwezo ningewahamishia hapa kwa mwaka wajifunze vitu vinafanyaje kaz. Tuache ushabiki ndezi na kulaumu
Vitu vingi Tu bongo ni km kuwa navyo unaonekana Tajiri kumbe vya kawaida tuKama USA ana utegemezi wa Almost 500bl dollars na China anategemea just 150 nani mhitaji kwa mwenzake?. Hadi sasa kuwa na gari wa Tz ni anasa kwa sababu imewekewa kodi kubwa wakati huo tunategemea kutoka nje na hatuna viwanda vya kuzalisha magari,
Imetuumiza sana hasa sisi wachina wa Tandale kwa Tumbo, Manzese kwa mfuga Mbwa, Vigwaza, Sanfura chole,Kimanzichana na MburahatiKiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.
Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.
Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.
145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.
Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.
Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.
Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.
Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.
Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
Dogo hujui. Marekani hategemei china. China soko lake kuu ni Marekani kama hukuambiwa.Atakayeathirika hapa ni USA pakubwa, China analo soko la bidhaa zake Afrika na Asia, wakati USA anaarithiri watu wake mwenyewe. Juzi nimesikiliza BBC raia mmoja wa USA fundi magari anasema walikiwa wanategenea spare part from China na sasa havipo japo alisema ana amini vitakuja japo kwa ongezeka la dola 70.
Viongoz ni zao la jamii chief. So sema sisi waafrika. Maana ikiwa wanatenda tofauti na sisi tungeonyesha kutokukubaliana naoHawa viongozi wa Africa ? Ht uwaoeleke wake miaka 5 hakuna Cha maana watafanya
Kwani hawajui nn kinatakiwa ? Wanajisima data tu , mbona Traole huko anapambana ?
Tukiiwekea Japan ushuru wa magari kwa 300% nani anapata athari zaidi,? Yeye anapata kioato kupitia ununuzi wetu au na sisi ambao hatuna ootion nyingine?Vitu vingi Tu bongo ni km kuwa navyo unaonekana Tajiri kumbe vya kawaida tu