China na Xi Jinping vipi tena?

Sijui.

Ila kwa jinsi Wachina walivyo walaghai, si ajabu jeshi lao si bora kivile.

Kwanza hata uzoefu wa vita halina.
Sasa kama hujui unabisha nini sasa.

Hao wachina wamekulaghai nini wewe ?
 
WACHINA wamepandisha tariff yao imefika 125% ! For all American imports.
 
wewe ni mjinga mchina soko alilonalo marekani na pesa anayoingza kuliko ampoteze marekan bora awapoteze hao asia na afrika fatilia utajua unadhan marekan ni fala yan ww unaona mbali kuliko marekani na trump
Ww hunq akili %60 ya bidhaa zote za china zinauzwa barani Asia alafu unaongea utopolo.
Labda ungesema Afrika ningekuelewa.
 
Hii ni kweli.
Hata hapa JF tunaongeleaga maswala ya kimataifa kiushabiki. Watu hawaleti evidence wanaleta story za vijiweni.
Naungana na nadharia inayosema Jamiiforums ilikua na wachangiaji wa maana miaka ya 2005 mpaka 10 huko, sasa hivi hata hamu ya kuchangia unakosa, kwasababu watu hawajengi hoja, wanaleta ushabiki wa kitoto, si unaona hapo juu, jitu zima badala ya kujenga hoja objectively kivipi China haiwezi kujibu tariffs za Marekani katika namna ambayo watu ambao hawafaham kinachoendelea wangenufaika na hoja yake, badala yake bandiko zima ni ushabiki na emoji juu.

Kuna mjinga mwenzake pia atakuja na hoja ya kishabiki kwanini Marekani hamuwezi Mchina

Uzi mzima unakua wa watoto.
 
Kabisa mkuu.
Ilitakiwa watu wasiojua chochote kuhusu tarrifs war kati ya USA na China wajichotee hayo maarifa kupitia huu uzi na waweze kuelewa vizuri.
 
Hujasema YUS ana anapata kiasi gani toka China. Kwa taarifa hutaona China ikirudi nyuma.
 
Acha coment ya kipumbavu mkuu, africa ni nchi maskini hazina potential ya maana kwa china. Potential market ya china ni USA
 
Ndio kaz mnayoiweza watanzania ushabiki wa kijinga. Nataman mngepata hata muda wa kuja china muda huu kuja kwenye maonyesho ya canton fair kuna kitu mtatoka nacho.
Mkuu kwahiyo wote tuje china? Duh we tuwakilishe tu
 
Duh humu watu wanatuaminisha china ana soko sehemu kubwa Africa,us hawezi mbabaisha😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…