UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,503
- 8,798
Ni kweli kutokana na yule mhusika mkuu...Ivi anaitwa nani???Mimi namjua Jumong tu anaitwa Ill Gook Song
Jamaa anaitwa Le min ho.
Ni kweli kutokana na yule mhusika mkuu...Ivi anaitwa nani???Mimi namjua Jumong tu anaitwa Ill Gook Song
ivi series gani nyingine kali zaidi ya IRIS
Jamaa anaitwa Le min ho.
Jamaa anaitwa Le min ho.
Nimemcheck aisee kumbe jamaa mkubwa lakini anaonekana mtoto.Hawa wenzetu wako vizuri sijui wanakula nini...
Mie jinsi navyowaona kwenye movie inaonekana ni watu wenye kujari sana afya zao hasa kupangilia vyakula.
Namkubali sana yule mshikaji.
Sana...bora umenipa jina lake nikajua kumbe anadate na yule min park young aliyecheza nae city hunter???
Pia Il gook song (jumong) ni mkubwa yuko kwenye 40's sikumini macho yangu mimi nilidhani yupo kwenye 20's
Ila kuna tetesi wamebwagana ila wao wenyewe wanakataa wanasema wako busy tu,sijajua sasa hivi vp.
Hata mimi pia nimeona...lakini they looks good together...
Hivi walianza kudate kabla au baada ya city hunter?
Baada ya city hunter.
Oooh basi sawa....naona walinogewa..
Ila yule jamaa ni handsome jamani...kama watakua wameachana kweli I guess yeye ndiye chanzo...
Hivi ni kweli park min young alifanya surgery?
Ahsante sana mkuu...ngoja nikamgugo sasa hivi namkubali sana
Umeangalia boys over flowers??
Hahahahahaaa.. Naona umenogewa na Lee Min ho... Wakorea wanakwambia hata aki advertise sabuni kama chakula, wao watakula kabisaaa... He can sell any advert..!!
Nimeiangalia last year....ndiyo iliyonifanya nimpende hadi nikaanza kumfuatilia...hakuna movie nitakayoiona yupo niiache hivihivi....namkumbuka sana kun gu pyo na Jan dee...dah ile movie kali sana
Nimeiangalia last year....ndiyo iliyonifanya nimpende hadi nikaanza kumfuatilia...hakuna movie nitakayoiona yupo niiache hivihivi....namkumbuka sana kun gu pyo na Jan dee...dah ile movie kali sana
Hahahaaa.. Ni kiboko.. Then wakatoa the heirs ambayo plot zinafanana... The guy is good at what he does.
Gum jan dee..hshahsaa... What abt Kim Hyun Joong... The silent guy.. White hair..!! Naye yuko juu sana na ni mwana muziki mzuri sana...
Oooh basi sawa....naona walinogewa..
Ila yule jamaa ni handsome jamani...kama watakua wameachana kweli I guess yeye ndiye chanzo...
Hivi ni kweli park min young alifanya surgery?