UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,491
- 8,790
Hizo mi nliacha kuangalia maana huwa naona ni series za wasaidizi wa kazi mimi huwa siwezi kuziangalia ni za kitoto sana na ni kweli unaweza kujua itaishaje na hata kufanana ..nlijaribu kuangalia mbili hivi sikumaliza hata episodes tatu...maana zina bore sana na naona kama wao wananifikiria mimi ni mtoto sana.wakati najielewa. sipend watu watengeneze series kwa kuwadharu watizamaji kana kwamba watizamaji wote ni darasa la saba au wana upeo mdogo wa kufikiri.
Sio zote zipo hivyo,lakini hata za kizungu kama Tomorrow people.nimeshindwa kuendelea yani kama unaangalia cartoon,haya mambo ya movie inategemea unapenda za aina gani.