Chidi Benzi ft Kalapina - Freestyle

Chidi Benzi ft Kalapina - Freestyle

Chidi kwenye hiphop ni nyoko sana nakubali punch zake ni heavy.....msenge huyu sijua kwanini amekuwa na nyota ya nyoka .
 
Chid Benz, Kalapina na babu Tale kwenye gari wakielekea Bagamoyo Sober house ili Chid Benz kuacha utumiaji wa madawa ya kulevya....
Chid Benz bado anatisha kwa freestyle..

Alimfunika kalapina kama hivi...

Kipaji ni kipaji...Tunasubiria ngoma yake....Shukrani kwa Kalapina, babu Tale na wengine waliofanikisha kupona kwa Chid Benz...

 
Yupo vizuri sema ndo miksa hyo ya crack ya ilala au kwa manyanya zimemzingua
 
Afya imeanza kurudi naona na vishavu vimeanza kunona.
 
Hicho kichwa ni hatari, sema upumbavu wake ndo umempoteza
 
Kupokezana vijiti imetia stress wengi sana. .wangeacha nay wa mitego awepo na chiddy awepo but all in all nigga chiddy aache usela nnya. .heshima ndo kila kitu alihisi yeye ni mkubwa kuliko bongo hip hop hayo ndo matokeo ila kwa ukali wa mic huyu mnigga chiddy ni mikosi zaidi ya balaa. ..wish ule utamu kipindi yupo kwa lindu watu wausikie. .unaweza kulia kabisa
 
This guy has talent. I wonder what went wrong akaingia huko kwenye unga. Apone na arudi katika hali yake. For those wanaojua real mcs, huyu ni one of them.......
Kachana na pumzi ya kutosha, kasauti tu kamenywea kidogo. Apige gym na kutafuna yai bichi sana voice inarudi
 
Back
Top Bottom