Chidi Benzi ft Kalapina - Freestyle

Chidi Benzi ft Kalapina - Freestyle

Niliona hii free style kwenye kipindi cha Kalapina, wote wawili wako vizuri, Chidi pamoja na tatizo la urahibu anaonekana bado ni mkali kwenye game
 
Duh Chidi konyoooo....

I hate drug dealers....
 
Daaaahh chid is still the best.!! Mshkaji badi yumo in there, Mungu amfanyie wepesi inshallah
I nearly cried baada ya kuona hii clip na kuona chid anapoelekea.....ila kiukweli Chidy ndio basi nina experience na wavuta Unga Chidy hawezi rudi kawaida.....nimekuwa na Langa long time akitumia dawa Dom hawaachagi.

I wish Diamond angejaribu hata kumpush kidogo(kimuziki) sahvi may be ingempa hata morale kidogo....najua ni marafiki wakubwa tu....
 
Kila LA kheri Chidi u will be fine one day nakurudi kwa game as usual
 
Huyu mtoto ukimuangalia tena kwenye hii clip unaweza ukatoa machozi. Huu ni mgodi unaotembea jamani. Wakutanisheni hawa watu studio, pigeon hela....
 
Mpaka Mic inamwogopa huyu mtu....anapasuka mbaya Chid mbaya ndugu zangu kwa mafristail.
 
pina ni muumini halisi wa hip hop nakumbuka alivyomtwanga chid ile cku but chidi nae mtamu ana pumzi nachomsifu
 
Mode niruhusu ntukane mana ni mzuka huyo chid khaaaa chid balahaaaa
 
daah huyu mwana yuko njema balaa tupu sema nini ngada gozigozi kinoma aisee bora kula mmea kuliko vumbi la mexico....
 
daah huyu mwana yuko njema balaa tupu sema nini ngada gozigozi kinoma aisee bora kula mmea kuliko vumbi la mexico....
 
Not all from the top of the dome....mingine ni pre written.Never liked him anyway despite kutopenda kazi zake ambazo personally naona ni moja ya definition za wackiness. I feel sorry for him.#Hip Hop bila madawa...pina the realist.
 
Back
Top Bottom