Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,537
Mkuu ulikuwa bado hujaamini?Duu kumbe kweli ni yeye![]()
![]()
sorry for the guy INAUMA
It just happened that he sat down after the standing up of Dar es Salaam.mtoto wa mujini huyo. da es salaaam. stand uuuuuuuuuup
Habari ndiyo hiyo mkuu. Drug addiction ni hatari sana na ni ngumu sana kuachana nayo.90% niliamini
So sad. No way out. Its the way he chosen through.Inauma sana
Bora bangeKumbe hiyo kitu ukionja sio rahisi kuacha! huyo ndio basi tena hawezi tena kurudia hali yake aliyokuwa nayo kabla ya kulamba huo mmea
True.![]()
NO LONGER TO DIE
Dudu baya aka mambaa, alishasema watu wamuache chidbeenz, Sikumuelewa kabisa dudu baya ila sahivi napata picha kamili