Chid?

Chid?

Bora hata angekua bwabwa! Kuliko hiyo kitu.
2879905da2d24246f826e3541228835d.jpg


Vyote vibaya ....
 
Vyote vibaya ....[/QUOTE]
OMG hii dunia imeshakuwa sio sehemu salama...watoto wakiume wamekuwa Vulnerable kwa sasa...
 
Mbona watoto wa Dar ndo wanaharibikiwa tu mbona A town kina Lord Izy wa long hawaja aribikiwa
 
Kumbe hiyo kitu ukionja sio rahisi kuacha! huyo ndio basi tena hawezi tena kurudia hali yake aliyokuwa nayo kabla ya kulamba huo mmea
Anaweza mbona Ray C mwanzo aliokolewa na JK badae akayarudia ndio kupelekwa sober sijui na kina nani sahivi yuko fit
 
Mbona watoto wa Dar ndo wanaharibikiwa tu mbona A town kina Lord Izy wa long hawaja aribikiwa
Huyo lord iyz ndio nani?? Kama unamaanisha Lord Eyes huyo kisha potea kwa madawa kitambo sana... Amekuwa anapata nafuu ila hajawahi kurecover 100% ... Cocaine isikie mkuu isikie tu mkuu
 
Mbona watoto wa Dar ndo wanaharibikiwa tu mbona A town kina Lord Izy wa long hawaja aribikiwa
Climate nayo Ina nafasi yake labda, ndo mana hata wenzetu huko tunakoiga hawaharibikiwi kiasi hiki! Hata wanaokunywa gongo sehemu za joto hali huwa mbaya sana tofauti na wale wanaotumia na wanaishi mazingira ya baridi!
 
  • Thanks
Reactions: G45
Atakuwa anaigiza filamu inayotoka mwakani au nn jmn?
 
Back
Top Bottom