Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 199
- 677
Watanzania wafarijika baada ya kuona muonekano mpya wa chid benzi, you know what? GOD DID.
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Chid Benz, aliyewahi kuwa mraibu wa dawa za kulevya, anatarajiwa kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupinga Biashara na Matumizi ya Dawa za Kulevya Duniani, yatakayofanyika jijini Dodoma tarehe 26 Juni 2026.
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Chid Benz, aliyewahi kuwa mraibu wa dawa za kulevya, anatarajiwa kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupinga Biashara na Matumizi ya Dawa za Kulevya Duniani, yatakayofanyika jijini Dodoma tarehe 26 Juni 2026.