mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Shikamoo AvatarHaaaaa haaaahaaaa...JF bana
Shikamoo AvatarHaaaaa haaaahaaaa...JF bana
3000 kwa kila koment. kuna tatizo kwani dada Mange?Hivi wewe na hicho kikomenti chako kila Uzi unalipwa?
Maana hata sikuelewi au we ndo hawa?
Hauoni hamisa alivyo banwa mbavu.poleew!mtu mzima km yule kushindana na vitoto anavyovizaa inahuu?
Nakuuliza swali la mwisho. Hamisa alizaa na diamond kwa malengo gani?yaani wewe humjui mswahili anayeenda puta kwa sasa ni Dada yetu Zari maana umri wake ni zaidi ya mara 2 ya Hamisa lakini bado anapapalika na mtoto wa Tandika
Zaa wewe basi kama imekuuma sanaAnza wewe kumpana na yako kisha unijie,
Mwambieni mwanamke mwenzenu km kuzaa hajaanza yy
We unadhani walikua na malengo gani? Si Hamisa tu hata Diamond alikua na mategemeo yake,hebu jiweke pembeni jamani lolNakuuliza swali la mwisho. Hamisa alizaa na diamond kwa malengo gani?
Unaona sasa. Ndo maana nawaambia mnampoteza hamisa. Hajui Anataka nini kwa diamond. Ilo ni tatizo. Hivi nillan na Abdul wanatofauti gani!? Kwanini diamond yuko bize na akina nillan kuliko Abdul?We unadhani walikua na malengo gani? Si Hamisa tu hata Diamond alikua na mategemeo yake,hebu jiweke pembeni jamani lol
Hata aliezaa nae pia ni limbukeni tuu.Heshima kwenu waungwana
Hivi Tangu huyu bibie mobeto ajifungue mtoto wa pili na kusemekana kuwa ni wa chibu, kelele zimekuwa nyingi, watu hawapumui kiasi kwamba huyo mtoto kashushwa km kilivyoshushwa kile kitabu kitakatifu,
Hivi hana kingine cha kufanya? Na vipi kuhusu yule mtoto wake wakwanza alozaa na Majizo? Hana thamani km Mwafrika mbele ya watu weupe? Kwann anakuwa mbaguzi kwa yule mtoto wa kwanza km ni wa hisani?
Huu ni ulimbukeni na ushamba wa kiwango cha reli ya mwendokasi,
Sawa bi TukinaoUnaona sasa. Ndo maana nawaambia mnampoteza hamisa. Hajui Anataka nini kwa diamond. Ilo ni tatizo. Hivi nillan na Abdul wanatofauti gani!? Kwanini diamond yuko bize na akina nillan kuliko Abdul?
Hamisa tatizo anamnyima mtoto malezi ya baba.
MUNGUA AHAKIKISHE UNAIBIWAPambana na hali yako ungekua na busara kipindi haswa kipindi zari anachezewa na diamond bafuni ungempa ushauri mtu mzima yule
She is jus 24 ujana maji ya moto!fancy baba ake anajielewa kila mtu na life lake looohhh!
Mlitaka azae na nani?hahahaaaaaaa
Ndo ashazaa na diamond na ndo ashafanya party
Mwanamke jeuri muibie mmewe
Are u sure ni Avatar hiiShikamoo Avatar
Urithi, mwenzenu anacheza hapo tu. Nazaa batoto. Ukifwa kilichobaki changudaah!ana pesa gani yule
Hahahaha jf raha sana3000 kwa kila koment. kuna tatizo kwani dada Mange?