Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Watu wa humu wanaonyesha wana chuki kwa hamisa live kabisaHkn anaemchukia na utamchukiaje mtu bila sababu inamaana kutaka kuambiwa busara zake ndo kumchukia wengine hatuzijui hz busara zake
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Hawalali,hawanyi kutwa kumponda wanaumia kama wanampa wao pesa ya kula vile