Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

I
Kwa hiyo watumishi wpanakipwa 1.6 bilion au? Usiache tukakutusi bure...Hongera kumtetea maana hata kunguru hutembea pamoja lakini huwezi kuta njiwa akaruka na mwewe....
1.6B ni pesa ya kawaida sana kwa consultant, tena kwa mradi mkubwa kama ule wa IPTL.
 
Duh hatari hii ndo shida ya shibe yaani unadhihaki mpaka mpishi. Huyu jamaa ana kiburi sana lkn siku yake ipo mbona wengi zaidi yake walitamba kwa mamlaka na madaraka lkn leo hawapo tena zimebaki hadithi tu. Wako wapi kina mobutu
 
1.6B ni pesa ya kawaida sana kwa consultant, tena kwa mradi mkubwa kama ule wa IPTL.

Hongera sana ni kweli hizi 1.6 bilioni ni vijisenti vidogo tu..............Inaelekea wizi wa mali za umma kwako ni sawa tu ilimradi ni wa familia yako?Sina cha zaidi ukiona manyoya ujue kaliwa............Kuna siku utajutia huu utetezi wako kwa huyo Nyoka mwenye makengeza..........

Naona hata vile vijisenti vya rada pia alifanya consultancy.................Mhhhhhhhhhhhhhhhhh!
 
Kufru ,arrogance na wizi huwa haviendi pamoja ,huyu msukuma iko siku mwenyezi mungu atakuja muonyesha nguvu zake,ni lazima akuje kuwa zamani ktk nchi jirani yetu ya DRC alikuwepo mtawala mmoja aliyekuwa mwizi na pia alikuwa na kiburi cha hali ya juu dhidi ya watu wake aliokuwa anawaongoza,lakini hicho kiburi chake pamoja na mdomo aliokuwa nao vilisitishwa na vijana wadogo sana na alijikuta anaikimbia nchi yake bila ya kutaka na hatima yake iliishia kuzikwa ktk kaburi lisilojulikana na alizikwa na watu si zaidi ya wanne huko ktk jangwa la nchini Morroco alikokimbilia baada ya kutimuliwa na watoto wadogo nchini DRC.Chenge naye asubiri siku yake tuu,siku ballot box likiikataa ccm na kumkubali kiongozi mpya basi ajue ndio utakuwa mwisho wa arrogance anayoionyesha mbele ya macho ya watanzania,tutamdai pamoja na wote waliofanya ubadhirifu wa mali zetu wote watakwenda mahakamani bila ya kujali chama gani mtu katoka watakuwa na case ya kujibu mbele ya macho ya watanzania.Wakati nikisoma habari za mpumbavu kama huyu sijui mnamwita Chenge au Chege huwa ninapata kichefuchefu kibaya sana na sijui ilikuwaaje kajitu kama hako kujinufaisha namna ile bila hata rais mzima wa nchi kusema au kuhoji kitu,inaudhi sana wao pamoja na chama chao safari hii uzi ni ule ule wao na vibaraka wao wote watakiona.Mimi naandika kama Mr.Murage Msherwampamba.Nguvu ya ballot ni kubwa mno.End
 
viongozi kama huyu ndio wanaofadhili mauaji ya albino ili iwasaidie katika mambo yao ya kinyoka!

Umeona eeh, lazima atakuwa ana mkono kwa mauaji hayo. Maana pesa wanazolipwa mtu wa kawaida anayetafuta sijui dawa za duka lake la spare hawezi afford.

Mungu anisamee lkn namuhisi huyu na si ndio aliwekaga dawa bungeni akanaswa na cctv
 
hivi wabunge walipokuwa wakipeana posho mara mbili tume ya maadili ilikuwa wa wapi na takukuru? takrima ilikuwaje
 
Huyu jamaa anaogopeka sana serikalin,kwanza ni mchawi wa kutupwa sjui kama mnakumbka, alishawah kupigwa picha na mitambo ya bungen mwaka 2008 akiwa anaweka madawa ya kienyej,pili anaringa sana na taaluma yake ya sheria na anadiriki kusema Tanzania hakna anayemtoa knockout kwa sheria hata Mtikila hamuwezi.
He is riding on time..there will come days when he will not only be taken to task for his ill dids but also for arrogantly calling himself those names.
 
Hongera sana ni kweli hizi 1.6 bilioni ni vijisenti vidogo tu..............Inaelekea wizi wa mali za umma kwako ni sawa tu ilimradi ni wa familia yako?Sina cha zaidi ukiona manyoya ujue kaliwa............Kuna siku utajutia huu utetezi wako kwa huyo Nyoka mwenye makengeza..........

Naona hata vile vijisenti vya rada pia alifanya consultancy.................Mhhhhhhhhhhhhhhhhh!
soma na wewe upate akili ya kutafuta pesa. wacha wivu!
 
Wanajamvi, tulio wengi wananchi wa tanzania tuna ukungu machoni hatujui hakizetu pia adui UJINGA bado anatutafuna ,hata izo pesa zilizo ibwa bado wengine haiwaumi kanakwamba hajaibiwa mfukoni mwake. Bado wanasiasa wakirudi Majimboni tuna washangilia kwa mbwembwe huku richa ya kuwa na kashfa ya ufisadi, tubadilike na siyo kuongelea mtungini na kunung'unika ovyo.
 
soma na wewe upate akili ya kutafuta pesa. wacha wivu!

Siyo za wizi,ninamuogopa Mungu sana,as long as ninachokidogo kinanitosha mimi na familia yangu.!SItaki PESA zitakazonikosesha MBINGU.............Upo:welcome:😛ray2:Mwezi wa kufunga na kuomba tuliombee TAIFA letu tupate viongozi wacha Mungu,wenye HEKIMA,HESHIMA,ADABU,WANYENYEKEVU,WENYE BUSARA na WAOGA wa MUUMBA wao...............
 
Siyo za wizi,ninamuogopa Mungu sana,as long as ninachokidogo kinanitosha mimi na familia yangu.!SItaki PESA zitakazonikosesha MBINGU.............Upo:welcome:😛ray2:Mwezi wa kufunga na kuomba tuliombee TAIFA letu tupate viongozi wacha Mungu,wenye HEKIMA,HESHIMA,ADABU,WANYENYEKEVU,WENYE BUSARA na WAOGA wa MUUMBA wao...............
tuwaombee na watu kama wewe wenye wivu kupitiliza, na wanaofuata mkumbo kwa kila linalosemwa!
 
tuwaombee na watu kama wewe wenye wivu kupitiliza, na wanaofuata mkumbo kwa kila linalosemwa!

Sina WIVU ila mara zote ni mkweli kupitiliza.Haijalishi mwizi ana itikadi gani as long as analiibia Taifa sita msupport hata siku moja.Silipwi na mtu wala UTU wangu hauna bei........

Ninakuonea huruma sana ,lakini yawezekana unatetea MAOVU kwa sababu nyingi chache ni hizi:

1.U-Ndugu wa karibu sana na Chenge

2.U-Mtoto wa Chenge.

3.U-Mjukuu wa Chenge.

4.U-dada,Mjomba,shangazi au kaka wa Chenge.

5.U-Rafiki wa karibu na familia ya Chenge.

Pole sana siku ukija kujua ulikuwa unatetea ujinga utajilaumu sana.
 
Amejipambanua mwenyewe,Yeye ni nyoka,yeye mjanja sifa ya nyoka sifa ya shetani kwa hiyo yeye ni shtani
 
"Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ningelipenda Bunge hili liendelee kuwa na heshima yake. Pili, naomba sana hayo wanayoyasema wawe na ujasiri wa kwenda kuyasema nje ya ukumbi huu wa Bunge, wasijifichie katika immunity (kinga) ya Bunge," alisema Chenge.


Mnyika katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, alisema wananchi wanapaswa kumuita Chenge ‘nyoka wa ufisadi' badala ya kujisifia kuwa ni ‘nyoka mwenye makengeza' kwa kuwa amehusika katika kutafuna mali ya umma.


Haya, si alitaka wasemee nje?? Sasa Mnyika kasemea nje ................................. atwambie atamfanyaje!!??
 
Sina WIVU ila mara zote ni mkweli kupitiliza.Haijalishi mwizi ana itikadi gani as long as analiibia Taifa sita msupport hata siku moja.Silipwi na mtu wala UTU wangu hauna bei........

Ninakuonea huruma sana ,lakini yawezekana unatetea MAOVU kwa sababu nyingi chache ni hizi:

1.U-Ndugu wa karibu sana na Chenge

2.U-Mtoto wa Chenge.

3.U-Mjukuu wa Chenge.

4.U-dada,Mjomba,shangazi au kaka wa Chenge.

5.U-Rafiki wa karibu na familia ya Chenge.

Pole sana siku ukija kujua ulikuwa unatetea ujinga utajilaumu sana.
utasema yote, ila natetea 'profession'. natetea usomi, watu kama wewe ambao hamjasoma hamuwezi kujua undani wa kazi muhimu kama 'consultancy'. uliza pembeni tu (usiogope kuonekana mjinga): uliza 'consultant' analipwa asilimia ngapi ya gharama au 'output' ya mradi? ukija uwe una majibu, sio ngonjera zako za kijinga!
 
utasema yote, ila natetea 'profession'. natetea usomi, watu kama wewe ambao hamjasoma hamuwezi kujua undani wa kazi muhimu kama 'consultancy'. uliza pembeni tu (usiogope kuonekana mjinga): uliza 'consultant' analipwa asilimia ngapi ya gharama au 'output' ya mradi? ukija uwe una majibu, sio ngonjera zako za kijinga!

Ningekushauri kitu kimoja tu katika maisha uliyobakiza hapa ULIMWENGUNI au DUNIANI, ndugu yangu usipende kumtukana mtu usiyemjua maana waweza pata aibu kubwa sana.Ninafanya kazi na Ma-consultant wa kila rangi kwenye mashirika ya kimataifa ila sijawahi kuiona hii unayoisema ati mtu analipwa 1.6bilioni sababu conzultancy fees acheni kujiibia jamani mnatia aibu duniani huku.Na ndiyo sababu hata hao wafadhili wamewanyima pesa.Msidhani kwa sababu hatujasoma Havard Universty basi ni wajinga au wapumbavu hapana gunavumilia tu huu ujinga wenu.Pole sana ila usilolijua ni kama usiku wa kiza kinene.Umejivua nguo kisa unawatetea majambazi na wauaji wa watanzania maskini.Ole wenu siku yaja ambayo utajutia kwa I I ulifanya uliyofanya.
 
Back
Top Bottom