Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

Andrew Chenge ni best friend wa Lowassa, msishangae siku Lowassa akishinda Urais akaja kuwa Mwanasheria mkuu tena au waziri wa sheria???

They're both fisadis!
 
Huyu Bagesi ni mdoshi sana,natamani Mwana Mahongo agombee ubunge ili amtoe huyu jamaa.Chenge anakera sana
 
Kauli za namna hii zinanichanganya sana. Hakuna baraka hata kidogo ndani yake. Uzalendo kwanza ninyi mlio viongozi wetu; Iko wapi ile kauli ya kumhenzi Mwl J.K.Nyerere? Kila mmoja wa vuongozi na watumishi wa umma akiamua kuwa nyoka mwenye makengeza( mtu mjanja) Tanzania itasalimika kweli???
 
Andrew Chenge ni best friend wa Lowassa, msishangae siku Lowassa akishinda Urais akaja kuwa Mwanasheria mkuu tena au waziri wa sheria???

They're both fisadis!

Yaani unaakili kama radio mbao hawajamaa ni kidole na pete halafu kuna watu waliojitoa ufahamu kukesha usiku na mchana kumpigia promo lowasa na kwa taari msishangae waziri mkuu akaoewa rostam aziz
 
hakuna kiongozi yeyote msafi Tanzania hii, mnaoamini kuwa ni wasafi hawajapata muda na nafasi yakuchafuka, tena huenda ndo wakachafuka kuliko waliopo madarakani kwasasa. maneno tunayozungumza ni tofauti na nafsi zetu. nimepata nafasi ya kupiga stori na waheshimiwa kadhaa lakini ukiwasikiliza maneno yao kisha ukasikiliza nyoyo zao ni vitu viwili tofauti.
 
Wezi wote ni wafuasi wa dini moja! Kuna tatizo gani na watu wa imani hii?
 
Jeuri ya huyu jamaa inatoka kwa yule mkwere mshamba mliyempa nchi kwa kigezo cha u handsome..

Anafanya atakalo kwasababu anajua anashrikiana nae katika wizi..

Kuna vitu viwili ambavyo inabid waTanzania tujilaumu milele, .

1.Kulelewa kwa sera za Ujamaa..
2.Kuongozwa na Kikwete kama Rais wa nchi..

Ni bora tungemchukua mtoto wa form1 awe rais wetu kuliko huyu jamaa..

Ndo aliyesababisha hawa wote wawe na uwezo wa kutukana, kukejeri, na kudharau waTZ..

Ipo siku nchi yetu itaongozwa na mwendawazimu flani hivi asiye na masikhara hapo ndipo hawa wajinga wote wakiongozwa na Jk watakaposhikishwa adabu..


Nawaombea uhai hadi siku hyo itakapofika..
 
Leo ndio nimejua kuwa kuna nyoka wenye makengeza!!!!!
 
chenge hajaiba. alifanya 'consultancy' kwenye huo mradi.

Report ya BAE kuhusu Rada walisema pia wale waliohusika kwa TZ nao washitakiwe,Consultantion fee ya Bilioni moja nucta 6?
 
Report ya BAE kuhusu Rada walisema pia wale waliohusika kwa TZ nao washitakiwe,Consultantion fee ya Bilioni moja nucta 6?

unashangaa hiyo? nenda PSPF, NSSF uone watu wanavyolipwa fee kubwa. consultation ni kazi ghali sana!
 
Mzee wa Unga mweupe usiku wa manane ndani ya Bunge!! - Mzee wa Vijicenti, moto wa kuotea mbali - ukiukaribai tu umekuunguza.

Yaani Unawaibia then unawatungia na katiba - na wao wametulia tuli - safi sana.
 
unashangaa hiyo? nenda PSPF, NSSF uone watu wanavyolipwa fee kubwa. consultation ni kazi ghali sana!

Labda Consultation fee ya magumashi,consultation fee zinajulikana bei zake wengine wanachaji laki moja kwa saa ila kama za magumashi inawezekana,kuna kipindi ilitokea kashfa ya ubadhilifu wa fedha ambao hiyo wizara iiandika kwamba gari inatumia mfauta ya kihasi kadhaa ambayo ukipiga mahesabu ni sawa na hiyo gari ilikuwa inatembea 600km kwa siku wakati gari ni ya hapa hapa dar.
 
Labda Consultation fee ya magumashi,consultation fee zinajulikana bei zake wengine wanachaji laki moja kwa saa ila kama za magumashi inawezekana,kuna kipindi ilitokea kashfa ya ubadhilifu wa fedha ambao hiyo wizara iiandika kwamba gari inatumia mfauta ya kihasi kadhaa ambayo ukipiga mahesabu ni sawa na hiyo gari ilikuwa inatembea 600km kwa siku wakati gari ni ya hapa hapa dar.
una matatizo ya akili!!? consultant gani utamlipa 100,000. kwenye mradi mkubwa kama wa IPTL.
 
Yaah ndo mfano wa mwanaume mtaftaji... sio kushinda jf kupiga kelele na kulalamika kama mwanamke kutwa nzima. Acheni wanaume watafte pesa, kama mmechagua kushinda kwenye keyboard kutwa nzima, mnalalamikia nini wanaume wenzenu wasaka pesa? Dunia hii nani asiyetaka pesa za kumhakikishia maisha ya kesho.

PASCO (alisema tanzania ni shamba la bibi.)
unatafuta kwa kuwaibia watanzania maskini kama hawa - hiyo ni Laana!!
2.jpg


Ambulance.JPG
 
Kama serikali inamchekea kwa anayofanya unategemea aseme nini zaidi ya hapo?
Haya majambazi ya nchi hii na vinasaba vyao na CCM kazi kwelikwelii!
yaani ni shidaaaa
 
una matatizo ya akili!!? consultant gani utamlipa 100,000. kwenye mradi mkubwa kama wa IPTL.

Mkono mwenyewe alikuwa anachaji laki moja kwa one hr as consultation fee mwaka 2009 haijalishi ni kampuni au individual.
 
Back
Top Bottom