sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,480
Huyu mdogo wangu ndiyo wale waliyo tayari kutoa uhai wa ALBINO ili apate pesa.Nina wasiwasi hata huyo anayemteta haishi kwenda kwa waganga wa jadi kujitengeneza.
Mkuu kwani umesahau Chenge huyu huyu alionekana kwenye camera kule bungeni akinyunyizia unga unga kwenye viti vya wabunge wenzie..? Na vile vile aliwatoa kafara kwa kuwagonga wanawake wawili na kisha akaachiliwa na mahakama..? Hawa ndo kweli wanaoshiriki kwenye kadhia hii ya aibu ya kuwaua wenzetu wenye ulemavu wa ngozi..