Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa





Haya, si alitaka wasemee nje?? Sasa Mnyika kasemea nje ................................. atwambie atamfanyaje!!??

Hawezi kumfanya kitu kwani Mnyika amesema ukweli mtupu..
 
Ningekushauri kitu kimoja tu katika maisha uliyobakiza hapa ULIMWENGUNI au DUNIANI, ndugu yangu usipende kumtukana mtu usiyemjua maana waweza pata aibu kubwa sana.Ninafanya kazi na Ma-consultant wa kila rangi kwenye mashirika ya kimataifa ila sijawahi kuiona hii unayoisema ati mtu analipwa 1.6bilioni sababu conzultancy fees acheni kujiibia jamani mnatia aibu duniani huku.Na ndiyo sababu hata hao wafadhili wamewanyima pesa.Msidhani kwa sababu hatujasoma Havard Universty basi ni wajinga au wapumbavu hapana gunavumilia tu huu ujinga wenu.Pole sana ila usilolijua ni kama usiku wa kiza kinene.Umejivua nguo kisa unawatetea majambazi na wauaji wa watanzania maskini.Ole wenu siku yaja ambayo utajutia kwa I I ulifanya uliyofanya.
wacha upopompo. hujui lolote! you are as empty as a newborn. sisemi mambo kutoka hewani. kaulize kwanza ndio uje hapa, la sivyo ujinga utaendelea kukutawala.
 
Andrew Chenge mwinzi mkubwa arudishwe pesa zetu za escrow kwanza kama yeye nyoka aende akae na nyoka wenzake huko porini wamelaaniwa na Mungu.
 
utasema yote, ila natetea 'profession'. natetea usomi, watu kama wewe ambao hamjasoma hamuwezi kujua undani wa kazi muhimu kama 'consultancy'. uliza pembeni tu (usiogope kuonekana mjinga): uliza 'consultant' analipwa asilimia ngapi ya gharama au 'output' ya mradi? ukija uwe una majibu, sio ngonjera zako za kijinga!
Jambazi mkubwa!kama si kulindana huyu angekuwa segerea siku nyingi,jambazi sugu!��
 
wacha upopompo. hujui lolote! you are as empty as a newborn. sisemi mambo kutoka hewani. kaulize kwanza ndio uje hapa, la sivyo ujinga utaendelea kukutawala.

Nafuu mimi mjinga maana nikielimishwa nitaelimika kuliko wewe mpumbavu ukidhani kutetea majambazi utafaidika.You are so stupid in such a way binadamu wa kawaida hawezi kuimagine.Pesa za wizi hazina baraka.Chenge ni jambazi lililo kubuhu na ndiyo maana amejiita Nyoka.

Hakuna nchi yeyote itakayomlipa mtu hiyo pesa.Hata hao wazungu wanaoletwa na International organisation hawalipwi kama unavyodai.Pole mtaweza kutudanganya kwa muda tu lakini siyo kwa maisha.

Am saying again with confidence you are so stupidy very stupidy kumpigia kampeni huyu Jambazi na muuaji wa watanzania fisadi Chenge Mzee wa vijisenti.

Nimeamua kukupa mbovu sababu unadhani matusi siyajui.Mwanaume mzima unashindwa kutumia akili za kuzaliwa na busara ndogo tu kwa kuwa Mzalendo na kuwapiga vita wezi na majangili ya mali za ummq
 
Nafuu mimi mjinga maana nikielimishwa nitaelimika kuliko wewe mpumbavu ukidhani kutetea majambazi utafaidika.You are so stupid in such a way binadamu wa kawaida hawezi kuimagine.Pesa za wizi hazina baraka.Chenge ni jambazi lililo kubuhu na ndiyo maana amejiita Nyoka.

Hakuna nchi yeyote itakayomlipa mtu hiyo pesa.Hata hao wazungu wanaoletwa na International organisation hawalipwi kama unavyodai.Pole mtaweza kutudanganya kwa muda tu lakini siyo kwa maisha.

Am saying again with confidence you are so stupidy very stupidy kumpigia kampeni huyu Jambazi na muuaji wa watanzania fisadi Chenge Mzee wa vijisenti.

Nimeamua kukupa mbovu sababu unadhani matusi siyajui.Mwanaume mzima unashindwa kutumia akili za kuzaliwa na busara ndogo tu kwa kuwa Mzalendo na kuwapiga vita wezi na majangili ya mali za ummq[/QUOTE Tetty!huyu mzee ni jambazi sugu!ushahidi wa scortland yard kuhusu ujambazi wake uko wazi!na maajabu ya musa jamaa wakampa pande atuwandikie katiba pendekezwa?jamani wa TZ sio maboga!wameenda shule na wana reasoning capacity ya ajabu!huyu mzee nyumbani kwake ni segerea bila kumumunya maneno...����
 
Last edited by a moderator:
Nafuu mimi mjinga maana nikielimishwa nitaelimika kuliko wewe mpumbavu ukidhani kutetea majambazi utafaidika.You are so stupid in such a way binadamu wa kawaida hawezi kuimagine.Pesa za wizi hazina baraka.Chenge ni jambazi lililo kubuhu na ndiyo maana amejiita Nyoka.

Hakuna nchi yeyote itakayomlipa mtu hiyo pesa.Hata hao wazungu wanaoletwa na International organisation hawalipwi kama unavyodai.Pole mtaweza kutudanganya kwa muda tu lakini siyo kwa maisha.

Am saying again with confidence you are so stupidy very stupidy kumpigia kampeni huyu Jambazi na muuaji wa watanzania fisadi Chenge Mzee wa vijisenti.

Nimeamua kukupa mbovu sababu unadhani matusi siyajui.Mwanaume mzima unashindwa kutumia akili za kuzaliwa na busara ndogo tu kwa kuwa Mzalendo na kuwapiga vita wezi na majangili ya mali za ummq[/QUOTE Tetty!huyu mzee ni jambazi sugu!ushahidi wa scortland yard kuhusu ujambazi wake uko wazi!na maajabu ya musa jamaa wakampa pande atuwandikie katiba pendekezwa?jamani wa TZ sio maboga!wameenda shule na wana reasoning capacity ya ajabu!huyu mzee nyumbani kwake ni segerea bila kumumunya maneno...����

Na hawa wanaoutetea uovu wake nawashangaa nadhani hawaelewi impact yake kwenye jamii.Hawajui kuna watu wanakufa hospitali sababu hawana uwezo wa kulipia bill zao lakini kuna watu wanapiga pesa za umma tuanawatetea na kuwasifu.Hivi unanunua ASSET kwanye nyumba na mtoto mmoja anaiba unamsifia inaingia akilini? Na hawa usikute ndiyo wauaji wa maalbino ili wasiguswe na waendelee kuwa wabunge.Siwaewi watanzania wanaouendekeza wizi.Hakika hata angekuwa baba yangu ningempa za uso tu.
 
Last edited by a moderator:
Nafuu mimi mjinga maana nikielimishwa nitaelimika kuliko wewe mpumbavu ukidhani kutetea majambazi utafaidika.You are so stupid in such a way binadamu wa kawaida hawezi kuimagine.Pesa za wizi hazina baraka.Chenge ni jambazi lililo kubuhu na ndiyo maana amejiita Nyoka.

Hakuna nchi yeyote itakayomlipa mtu hiyo pesa.Hata hao wazungu wanaoletwa na International organisation hawalipwi kama unavyodai.Pole mtaweza kutudanganya kwa muda tu lakini siyo kwa maisha.

Am saying again with confidence you are so stupidy very stupidy kumpigia kampeni huyu Jambazi na muuaji wa watanzania fisadi Chenge Mzee wa vijisenti.

Nimeamua kukupa mbovu sababu unadhani matusi siyajui.Mwanaume mzima unashindwa kutumia akili za kuzaliwa na busara ndogo tu kwa kuwa Mzalendo na kuwapiga vita wezi na majangili ya mali za ummq

inaonekana umezaliwa kwenye familia maskini wa kutupwa. mtu akipata pesa kidogo tu unawashwa mwili mzima. wacha watu watumie usomi wao, popompo wewe! tafuta za kwako. endelea kupiga kelele lakini pesa hazitokaa zirudi... next time unaandika post-quote uwe na akili angalau ya kuelewa mambo, sio akili za QT na vijiweni.
 
inaonekana umezaliwa kwenye familia maskini wa kutupwa. mtu akipata pesa kidogo tu unawashwa mwili mzima. wacha watu watumie usomi wao, popompo wewe! tafuta za kwako. endelea kupiga kelele lakini pesa hazitokaa zirudi... next time unaandika post-quote uwe na akili angalau ya kuelewa mambo, sio akili za QT na vijiweni.

Acha upoyoyo wewe..! Atumie usomi wake kwenye kushauri ununuzi wa wa rada kwa gharama iliyozidi mara tatu ya gharama ya kawaida..? Wakati mwingine ni vizuri ukae kimya kuliko kuja kutetea ungese hapa.. Watu wanakufa mahospitalini huko hakuna dawa.. Mashuleni hamna vitabu wala walimu wa kutosha na bado watoto wengi wanakaa chini.. Yote hii ni kutokana na wizi wa akina Chenge & co.. Halafu wewe unakuja kutetea hapa..! 😡😡😡
 
Acha upoyoyo wewe..! Atumie usomi wake kwenye kushauri ununuzi wa wa rada kwa gharama iliyozidi mara tatu ya gharama ya kawaida..? Wakati mwingine ni vizuri ukae kimya kuliko kuja kutetea ungese hapa.. Watu wanakufa mahospitalini huko hakuna dawa.. Mashuleni hamna vitabu wala walimu wa kutosha na bado watoto wengi wanakaa chini.. Yote hii ni kutokana na wizi wa akina Chenge & co.. Halafu wewe unakuja kutetea hapa..! 😡😡😡
wachana na habari ya rada, tunaongelea escrow sasa. popompo wewe! hata kwenye rada, makosa yalikuwa kwa BAE Systems walipouza kwa gharama za juu zaidi.
 
wachana na habari ya rada, tunaongelea escrow sasa. popompo wewe! hata kwenye rada, makosa yalikuwa kwa BAE Systems walipouza kwa gharama za juu zaidi.

Ona sasa..! BAE Systems waliuza kwa bei ya juu kwanini..? Ina maana mwanasheria mkuu wa Serikali alishindwa kugundua kwamba price ya rada ilikuwa juu sana..? Ule mgao wake uliokutwa kwenye ac yake ulikuwa ni wa nini..?

Kuhusu escrow wakati mkataba wa iptl unasainiwa mara ya kwanza enzi za Mkapa, mwanasheria mkuu wa alikuwa nani..? Na mkataba ule ulikuwa na utata tangu day one.. Leo unakuja kusema hapa amelipwa ati consultancy fee..! Na wewe unatetea kabisa bila ya chembe cha haya..!
 
Ona sasa..! BAE Systems waliuza kwa bei ya juu kwanini..? Ina maana mwanasheria mkuu wa Serikali alishindwa kugundua kwamba price ya rada ilikuwa juu sana..? Ule mgao wake uliokutwa kwenye ac yake ulikuwa ni wa nini..?

Kuhusu escrow wakati mkataba wa iptl unasainiwa mara ya kwanza enzi za Mkapa, mwanasheria mkuu wa alikuwa nani..? Na mkataba ule ulikuwa na utata tangu day one.. Leo unakuja kusema hapa amelipwa ati consultancy fee..! Na wewe unatetea kabisa bila ya chembe cha haya..!
kama kulikuwa na utata tangu day one kwa nini hamkuutatua? mnalalamika nini sasa? wacheni yada yada!
 
kama kulikuwa na utata tangu day one kwa nini hamkuutatua? mnalalamika nini sasa? wacheni yada yada!

Utayatatua vipi wakati wamejiundia genge la ujambazi kufisadi nchi..? Wamekamata mihimili yote.. Halafu bado wana sympathisers huku uraiani kama wewe wanaotetea ujinga..
 
ibala ya 29 (b) ( 2) Masharti ya kufungua akaunti za nje kwa kiongozi wa umma,kwa maana kwamba yawekwe masharti ya ufunguaji akaunti nje.
 
inaonekana umezaliwa kwenye familia maskini wa kutupwa. mtu akipata pesa kidogo tu unawashwa mwili mzima. wacha watu watumie usomi wao, popompo wewe! tafuta za kwako. endelea kupiga kelele lakini pesa hazitokaa zirudi... next time unaandika post-quote uwe na akili angalau ya kuelewa mambo, sio akili za QT na vijiweni.

Uliyesoma QT ni wewe maana huna akili hata chembe.Mpumbavu kweli kweli wewe.Pesa siyo kil kitu, watu kMa nyie mnapumbazwa na vijisenti vichache na mnasalimisha UTU wenu.Mdogo wangu kama umefika chuo kikuu basi nakusikitikia sana maana miaka yote hiyo umejifunza KUSOMA NA KUANDIKA TU.Pole sana na kionea huruma kizazi chako.Sina tusi zaidi la kukupa maana umeshanionesha u kijana wa aina gani.Ninamuonea huruma Mwananmke mwenzangu aliyekuleata DUNIANI.Mtoto aliyempta si riziki.

Ni kweli naamini sasa elimu itolewayo leo si elimu ni ujinga.
 
Utayatatua vipi wakati wamejiundia genge la ujambazi kufisadi nchi..? Wamekamata mihimili yote.. Halafu bado wana sympathisers huku uraiani kama wewe wanaotetea ujinga..

Huyu mdogo wangu ndiyo wale waliyo tayari kutoa uhai wa ALBINO ili apate pesa.Nina wasiwasi hata huyo anayemteta haishi kwenda kwa waganga wa jadi kujitengeneza.
 
kama kulikuwa na utata tangu day one kwa nini hamkuutatua? mnalalamika nini sasa? wacheni yada yada!

Huyu mheshimiwa wako alitaka kushtakiwa huko uingereza serikali ya CCM ikakataa.Kama hujii kitu uliza.Unayemtetea hata kama mzazi wako sifa yake ya kwanza ni Ushirikina huyu alifumaniwa Bunge I akimwaga mmadawa.Sifa ya pili siyo tu mwizi ni Jambazi lililokubuhu.Sifa yake nyingine ni fisadi na muongo.Pole kama ni nduguyo.
 
Back
Top Bottom