idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,423
kazi ya Mkono ilikuwa ni nini? na alifanya kwa nani?Mkono mwenyewe alikuwa anachaji laki moja kwa one hr as consultation fee mwaka 2009 haijalishi ni kampuni au individual.
kazi ya Mkono ilikuwa ni nini? na alifanya kwa nani?Mkono mwenyewe alikuwa anachaji laki moja kwa one hr as consultation fee mwaka 2009 haijalishi ni kampuni au individual.
Yaah ndo mfano wa mwanaume mtaftaji... sio kushinda jf kupiga kelele na kulalamika kama mwanamke kutwa nzima. Acheni wanaume watafte pesa, kama mmechagua kushinda kwenye keyboard kutwa nzima, mnalalamikia nini wanaume wenzenu wasaka pesa? Dunia hii nani asiyetaka pesa za kumhakikishia maisha ya kesho.
PASCO (alisema tanzania ni shamba la bibi.)
Hatimaye Andrew Chenge amefunguka na kudai kuwa yeye ni mjanja wa kutafuta pesa hivyo hatishiki kwa maneno yanayosemwa juu yake.
Ameenda mbele zaidi na kujifananisha na nyoka mjanja mwenye makengeza ambaye ni hodari katika kuvizia fursa zilizoko mbele yake.
Chenge amekuwa na kashfa nyingi sana za ukwapuaji wa fedha za umma kupitia njia za ujanja ujanja hasa kwa kutumia nafasi zake za madaraka. Ifahamike kuwa kila kashfa kubwa ya wizi wa fedha za umma huwa yumo.
Je, ni kusema kuwa Chenge ameshindikana au siku ipo inakuja atajutia ufisadi wake?
Chanzo: Uchambuzi wa magazeti 18.02.2015
Ameenda mbele zaidi na kujifananisha na nyoka mjanja mwenye makengeza ambaye ni hodari katika kuvizia fursa zilizoko mbele yake.
Chenge amekuwa na kashfa nyingi sana za ukwapuaji wa fedha za umma kupitia njia za ujanja ujanja hasa kwa kutumia nafasi zake za madaraka. Ifahamike kuwa kila kashfa kubwa ya wizi wa fedha za umma huwa yumo.
Je, ni kusema kuwa Chenge ameshindikana au siku ipo inakuja atajutia ufisadi wake?
Chanzo: Uchambuzi wa magazeti 18.02.2015
Yaah ndo mfano wa mwanaume mtaftaji... sio kushinda jf kupiga kelele na kulalamika kama mwanamke kutwa nzima. Acheni wanaume watafte pesa, kama mmechagua kushinda kwenye keyboard kutwa nzima, mnalalamikia nini wanaume wenzenu wasaka pesa? Dunia hii nani asiyetaka pesa za kumhakikishia maisha ya kesho.
PASCO (alisema tanzania ni shamba la bibi.)