Chenge kujivua gamba leo?

Chenge kujivua gamba leo?

Status
Not open for further replies.
sasa ccm imekwisha kama ni kweli,hivi amebaki mwanasheria gani? Huko kwa mtazamo wa wananchi nisahihi kabisa ila kwa ccm ni kifo kikubwa,wasifanya mambo kufuata mkubwa maana kubwa lao halitoki linaendelea kutafuna kama vp? Naye actp dwn bac
 
hilo lina manufaa gani kwa taifa letu. i just thought the man has returned all that he has stole from us and he is serving 30 years in jail.
 
democracia ya kweli ya vyama vingi itapatikana siku ya matanga ya ccm. kujivua magamba kuna mengine yanakuwa.let c if it will work
 
Tunataka na JK naye ajivue gamba pamoja na orodha ya mafisadi wakuu 11 (list of shame ya Mwembe Yanga).
Huo ni usanii kutaka kutudanganya...mbona tangu Rostam aachie ngazi hali haibadiliki? Mafuta waisema yatashuku bei yanazidi kupaa, sukari bei usitaje, na mwezi wa Ramadhani unaanza dk yoyote kuanzia sasa mambo yanazidi... wasitudanganye hao
 
Watamuweka werema
sasa ccm imekwisha kama ni kweli,hivi amebaki mwanasheria gani? Huko kwa mtazamo wa wananchi nisahihi kabisa ila kwa ccm ni kifo kikubwa,wasifanya mambo kufuata mkubwa maana kubwa lao halitoki linaendelea kutafuna kama vp? Naye actp dwn bac
<br />
<br />
 
Nani ataitetea Serikali ya JK na Kesi hizo za Kimataifa?
 
Jimbo lipo wazi, hesabu za wabunge wa chadema 48 + 4 =52. Igunga, Bariadi, Monduli na Arumeru Mash.
 
Naona hiyo haisaidii chama chote cha magamba kiachie ngazi wanawaonea tu na si vinginevyo makima hao.
 
Will, his abdication, ameliorate the current power crisis anyways? At this point of time, people need to be assured about the country's future economic health rather than constantly hearing about political stories.
 
mi nadhani kama amejivua gamba kinachofuatia ni kushitakiwa na kurudisha mali za taifa hili maana naona kama kuachia ngazi ndo imekuwa fashion ya kusamehewa mabaya ambayo yamekufanya uachie ngazi,wasiposhitakiwa basi wananchi wataaamua
 
mi nadhani kama amejivua gamba kinachofuatia ni kushitakiwa na kurudisha mali za taifa hili maana naona kama kuachia ngazi ndo imekuwa fashion ya kusamehewa mabaya ambayo yamekufanya uachie ngazi,wasiposhitakiwa basi wananchi wataaamua
 
- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!



Willie @ NYC, USA.

CCM sasa wanagawana fito walizokuwa wakiambiwa na kiranja wao wa ufisadi(kikwete) wasizigombee kwa kuwa walikuwa wanajenga nyumba moja.

Ma-revolutionists tupo tayari kwa mabadiliko.

Gawaneni hizo fito. Mkimaliza mtuambie ama msipotuambia tutajua tu.
 
Kama kweli itakuwa njema ila EL nae sasa si aende!
 
Kujiondoa CC, NEC au hata kuachia Ubunge bila kurudisha hela waliyoiba, haisaidii chochote. Hii nchi hiko ICU. We need a very strong person who can make noticable changes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom