Kuna njia nyingi za kuonyesha kuchukizwa na jambo (UFISADI). Kilichotokea hana ni dhahiri kinaonyesha kwamba mambo yatakua yale yale na story zile zile.
1. Mimi nilitegemea magufuli asiende kabisa bariadi lakini aandike waraka uwafikie wananchi wa bariadi kwamba yeye kama mgombea anaejinasib kuwashughulikia mafisadi kwamba hayuko tayari kushilikiana nao na hii ingetoa funzo kwa mafisadi wote na angepata kuaminika mbele ya WATANZANIA.
2. Kukubali kwenda kwenye jimbo la mtuhumiwa wa ufisadi ni kuonyesha jinsi gani bado yuko nae pamoja.