nyilaegenge
Senior Member
- Apr 13, 2014
- 198
- 105
Magufuli ameshindwa kumnadi Chenge hata ivyo ni nadra sana kumsikia Chenge akimpigia chepuo Magufuli mfn. alifany mkutano wa kampeni haps Kidinda Bariadi,alipata watu wachache,wengi wamama ila nilimsikia ametaja jina la Magufuli mara moja tu.
yetu macho tuone MAGUFULI akichaguliwa atawashughulikia hawa jamaa
yetu macho tuone MAGUFULI akichaguliwa atawashughulikia hawa jamaa