Ameonesha nia ya dhati kwa "kumnunia" mtu.
Kumnunia mkosaji sio kufaulu kupambana na tatizo linalomuhusu.
Leo?!
Angeshinikiza mapema asiruhusiwe kuchukua form ya kugombea ubunge kabisa. Kwani leo ndo amejua kuwa ni mtuhumiwa.
Shida sio wananchi. Shida ni kwanini alipewa form ya kugombea.
Magufuli lazima aendenae sawa na atakula nae sahani moko hadi kielewekeKama MACK ZUCKERBERG na BILL GATES wao Wali DROPOUT pale HAVARD UNIVERSITY..
ANDREW CHENGE yeye alikaza mpaka aka GRADUATE pale ..
Mnategemea WABONGO mtaenda nae sawa.?
Kweli jf ni hazina.Kumbe Kweli Hakula, Na sasa kaingia kwenye 18 zake.
Duuuu
Ha ha ha Ha, huku Kuna nyuzi nyingi Sana na Mtemi Chenge, ngoja tujiburudishe kidogo.Kweli jf ni hazina.
Naona mmeamua kuyafukua makaburi....
Namuona chenge kwambaaali kamasi jembamba likimtoka
Nimekosa kabisa lakusema,"Pale BoT kuna PhD kumi na saba; these are the results. Wanasheria wengi wamefundishwa na Profesa Kabudi...wakiingia kwenye mikataba wanasaini kila kitu...tumelogwa na nani? Basi kama tumelogwa, mtuombee nyinyi wachungaji na mashehe, kama mapepo yaondoke" - JPM
NYOTA NJEMA HUJULIKANA ASUBUHI!