Chenge aandaa chakula Bariadi, Magufuli akacha kukila

Chenge aandaa chakula Bariadi, Magufuli akacha kukila

Shida ipo kwa wananchi. Watu wa Chenge huwaambii kitu juu ya yake na hata upinzani hawawezi kumuondoa pale kwa sanduku la kura...

Mbona alishaondolewa mwaka 2010 na akatangazwa mshindi kimakaratee tu.
 
Wanaccm wangapi wenye tuhuma za ufisadi wamenadiwa na mh.magufuri hadi sasa?naombeni list Tafadhali.
 
Dawa ni kuwaweka pembeni Kwanza wamalize kuuwa kunguni kwenye kitanda chao,Wakati watanzania wanalilia kitanda kisicho na kunguni.
 
Mkawadanganye mazombie wenzenu huko ccm. Wengine tumeshajikomboa kifikra hatudanganyiki na danganya toto za kipuuzi namna hii.
 
Too late, yeye na huyo fisadi hawapati chochote. Wakajiandae kulima tu
 
Vihoja vywa kitoto kweli, Hivi chopa yetu na magari yameandikwa chadema au Lowassa. sorry naota

Yameandikwa M4C,Naona mwaka huu kuna chama kimejiegesha kwa mgombea binafsi ili kuficha aibu zake,kamwe hamuwezi kuandika CCM kwa kuwa jina la chama haliuziki tena.Kila mgombea anataja tu maghufuli ni tingatinga,ni mchapakazi n.k nawakati urais ni taasisi na hivyo atakwenda kuungana na mafisadi akina Chengez and hence tusitegemee jipya tena kwa kuwa team ya mpira ni ileile ikiwa na wachezaji kumi walewale isipokuwa mmoja tu,sasa kwa mazingira hayo unategemea miujiza ya ushindi?
 
Magufuli jembe watanzania tunayoimani na wewe kuwa utatukomboa...

Hapa kazi tu.
 
UKAWA kama wameanza elewa somo hvi. MAGUFULI is the ONE. Kama nawaona mlivyotegesha mi tekno yenu mpate pcha ya chenji na MAGUFULI. hahahaha. imekula kwenu.
 
Wasingempa fomu ya ubunge Chenge ccm,ningewaamini hawa mafisadi ccm.Pesa za kampeni ya Magufuli zimetoka kwa mafisadi

Wewe hybrid ya paka na nyang'au ya gikombaa kwanini nanyi hamkumyima form huyo fisadi Lowassa? Pesa za kampeni za chadema zimetoka wapi wewe fisi-maji?
 
Wewe hybrid ya paka na nyang'au ya gikombaa kwanini nanyi hamkumyima form huyo fisadi Lowassa? Pesa za kampeni za chadema zimetoka wapi wewe fisi-maji?

Hahahahaaa... Hli neno fisi-maji. Ukawa wameshikwa pabayaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom