mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,440
Episode 1.
Bado naikumbuka siku ya kwanza kufika India,,
Moyo wangu ulikuwa na hofu na wasiwasi na huko niendako.
Naikumbuka siku niliyoishiwa pesa za matumizi na kunifanya niwe street boy katika jiji la new delh.
Miaka 21 toka sasa,,lakini naikumbuka kila mtaa na eneo lote la new delh,,
kuanzia Karol Bagh,palika bazaar,pahar ganj ,,vasant vihar ,conut place.nk.
Bado naikumbuka sura nzuri sana ya mrembo chenai my love.
Where are you?
Hapa dar nilikuwa naishi mitaa fulani ya down town,,
Kipindi hicho watu wakitoka majuu,,basi wanatutia hamasa na tamaa ya kufika ng' ambo.
Yupo brother mmoja wa mtaani,,ilikuwa akirudi yupo powa sana,,
Kuanzia pamba ,,pesa kibao,,mademu kumgombania ni kawaida sana,
Kipindi hicho nina umri wa kama 20 hivi..
Basi niliamua kuzichanga pesa ,,mwishowe na Mimi mwandende nikawa kwenye emirates nakwea pipa ,,
Safari yangu ilianzia Nairobi,,kupitia Dubai,,then sahara international airport Mumbai..
Nakumbuka nilikuwa na jamaa zangu watanzania 3 ambao ndy walikuwa wanaongoza safari nzima.
Hawa jamaa nilikutana nao Nairobi ktk mipango ya kutafuta viza ya India.
Maana kipindi hicho hapa bongo hakukuwa na mambo mengi ya wajanja wa kutoa viza.
Ilikuwa kila kitu basi lazima upite Nairobi.
Mimi nilikuwa bado mdogo sana,,wala sina ndugu huko,,wala jamaa zaidi ya watanzania wenzangu wanaoishi huko ambao siwajuwi.
Tulifika Mumbai asubuhi salama,
pale tukakutana na watanzania wachache,,
Usiku tukapanda train tukaenda new delh ambapo ndy niliishi kwa dhiki na shida hadi kukutana na mtoto wa kishua chenai..
Itaendelea ,,
Bado naikumbuka siku ya kwanza kufika India,,
Moyo wangu ulikuwa na hofu na wasiwasi na huko niendako.
Naikumbuka siku niliyoishiwa pesa za matumizi na kunifanya niwe street boy katika jiji la new delh.
Miaka 21 toka sasa,,lakini naikumbuka kila mtaa na eneo lote la new delh,,
kuanzia Karol Bagh,palika bazaar,pahar ganj ,,vasant vihar ,conut place.nk.
Bado naikumbuka sura nzuri sana ya mrembo chenai my love.
Where are you?
Hapa dar nilikuwa naishi mitaa fulani ya down town,,
Kipindi hicho watu wakitoka majuu,,basi wanatutia hamasa na tamaa ya kufika ng' ambo.
Yupo brother mmoja wa mtaani,,ilikuwa akirudi yupo powa sana,,
Kuanzia pamba ,,pesa kibao,,mademu kumgombania ni kawaida sana,
Kipindi hicho nina umri wa kama 20 hivi..
Basi niliamua kuzichanga pesa ,,mwishowe na Mimi mwandende nikawa kwenye emirates nakwea pipa ,,
Safari yangu ilianzia Nairobi,,kupitia Dubai,,then sahara international airport Mumbai..
Nakumbuka nilikuwa na jamaa zangu watanzania 3 ambao ndy walikuwa wanaongoza safari nzima.
Hawa jamaa nilikutana nao Nairobi ktk mipango ya kutafuta viza ya India.
Maana kipindi hicho hapa bongo hakukuwa na mambo mengi ya wajanja wa kutoa viza.
Ilikuwa kila kitu basi lazima upite Nairobi.
Mimi nilikuwa bado mdogo sana,,wala sina ndugu huko,,wala jamaa zaidi ya watanzania wenzangu wanaoishi huko ambao siwajuwi.
Tulifika Mumbai asubuhi salama,
pale tukakutana na watanzania wachache,,
Usiku tukapanda train tukaenda new delh ambapo ndy niliishi kwa dhiki na shida hadi kukutana na mtoto wa kishua chenai..
Itaendelea ,,