Chenai upo wapi my love?

Chenai upo wapi my love?

mwandende

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
11,363
Reaction score
21,440
Episode 1.

Bado naikumbuka siku ya kwanza kufika India,,
Moyo wangu ulikuwa na hofu na wasiwasi na huko niendako.

Naikumbuka siku niliyoishiwa pesa za matumizi na kunifanya niwe street boy katika jiji la new delh.

Miaka 21 toka sasa,,lakini naikumbuka kila mtaa na eneo lote la new delh,,
kuanzia Karol Bagh,palika bazaar,pahar ganj ,,vasant vihar ,conut place.nk.

Bado naikumbuka sura nzuri sana ya mrembo chenai my love.

Where are you?


Hapa dar nilikuwa naishi mitaa fulani ya down town,,

Kipindi hicho watu wakitoka majuu,,basi wanatutia hamasa na tamaa ya kufika ng' ambo.
Yupo brother mmoja wa mtaani,,ilikuwa akirudi yupo powa sana,,
Kuanzia pamba ,,pesa kibao,,mademu kumgombania ni kawaida sana,

Kipindi hicho nina umri wa kama 20 hivi..
Basi niliamua kuzichanga pesa ,,mwishowe na Mimi mwandende nikawa kwenye emirates nakwea pipa ,,

Safari yangu ilianzia Nairobi,,kupitia Dubai,,then sahara international airport Mumbai..

Nakumbuka nilikuwa na jamaa zangu watanzania 3 ambao ndy walikuwa wanaongoza safari nzima.

Hawa jamaa nilikutana nao Nairobi ktk mipango ya kutafuta viza ya India.

Maana kipindi hicho hapa bongo hakukuwa na mambo mengi ya wajanja wa kutoa viza.

Ilikuwa kila kitu basi lazima upite Nairobi.


Mimi nilikuwa bado mdogo sana,,wala sina ndugu huko,,wala jamaa zaidi ya watanzania wenzangu wanaoishi huko ambao siwajuwi.

Tulifika Mumbai asubuhi salama,
pale tukakutana na watanzania wachache,,
Usiku tukapanda train tukaenda new delh ambapo ndy niliishi kwa dhiki na shida hadi kukutana na mtoto wa kishua chenai..

Itaendelea ,,
 
Episode 2.

Tulifika new delh kesho yake jioni,,maana mwendo wa train kutoka Mumbai kwenda delh ni masaa 24.

Nakumbuka tulifika kama saa moja usiku.

New Delh ina baridi sana kuliko Mumbai,, nakumbuka ilikuwa mwezi wa february kama huu,,

Mbaya zaidi hatukujiandaa kwa winter jackets,, basi ilikuwa ni zaidi ya mateso kwa baridi.

India ni inchi ya ajabu sana,,maana ikiwa wakati wa summer,,basi joto hadi watu wanaanguka barabarani na kufa.
Na hata winter pia inakuwa ni baridi Kali sana sana.

Tulivyofika delh tukawatafuta watanzania kulingana na address tuliyopewa .

Tuliwasili katika hotel ya green guest house,,

Iliyopo mtaa wa pahar ganj,,guest ambayo ndy ilikuwa wanaishi baadhi ya watanzania waishio hapo new delh.

Kwa kweli jinsi nilivyokuwa naisikia India,,na jinsi nilivyoikuta ni vitu viwili tofauti,,

Jinsi nilivyokuwa naiangalia ktk movies ,,
na reality ni kama naota.

India ilikuwa ni Chafu sana,,kila mahali kuna mate ya tambuu,,wahindi hawachaguwi pa kutema mate.

Kwakweli nilianza kuichukia tangu nipo Mumbai,,
Lakini sikuwa na jinsi,sababu nilichokifata ni pesa. Ambazo hata sijuwi nitazipata vipi.

Maana mtu mgeni yeyote akifika India watu wanakushawishi uiuze ile return ticket yako.
Nikaja kugunduwa baadae kwamba ,,

lengo la kukushawishi uuze ticket yako ni kukufanya ushindwe kurudi nyumbani hata kama siku maisha yakikushinda.

Basi nilianza maisha mapya hapo green guest house,

Guest ilikuwa na vyumba vingi sana,,
ilikuwa na flat moja,
na kila chumba kina vitanda 2 ,,
Kwa malipo ya 10$ kwa kila kichwa kinacholala humo.

Maana yake hata mlale 6 chumba kimoja,,
yeye muhindi akija anachukuwa 10$ kwa kila mtu..
Kisha anafunga geti,,

Ilikuwa bado ni mgeni,,
na ktk balance yangu ya pesa nilibaki kama na 170$ tu,,
Kama ilivyo kawaida ya mgeni,,sehemu yeyote ukifika suala la pesa ngeni kwako inakuwa kama huziheshimu,,

Kwa matumizi ya hapa na pale,,mwisho wa siku pesa zote nimemaliza.

Maana kama ujuavyo maisha ya guest,,kula ni kujitegemea,
Nitaishije?
Nitalipa guest na nn?

Usiku umeshafika,,muhindi anataka pesa zake.

Muhindi,,

"Pesa chaiyee.."maana yake nahitaji pesa.

Mimi nikajibu pesa sina,nasubiri kutumiwa toka Tanzania.

Muhindi akanijibu kwa ukali..

--Is this your father's house?
Nikajibu No

--Is this your mother's house?
Nikajibu No

Niche jaoo...maana yake toka nenda chini..

Duu!! Wakuu usiku huu mm naenda wapi,,
Mgeni halafu simjuwi mtu huko nje,

Basi nikatoka nje na baridi lile la usiku,,
nikaanza kutafuta wapi nijibanze ili usiku upite.

Kwenye kuzunguka mtaa wa nyuma,nikaona watu wengi nao wamelala nje,,
na mm nikajilaza pembeni kabisa,,ili usiku upite.

Kufika asubuhi,,tukaamshwa na kelele za watu fulani,
kufuatilia kwa makini,,nikagunduwa kumbe ni wanaokodisha mabox ya kulalia,

India ni sehemu pekee duniani ambapo baadhi ya mitaa hufungwa usiku kupisha watu kulala ktk barabara hizo,

Wapo watu fulani wanamradi wa kukodisha mabox ya kulalia.,,

wanachofanya wanakuja pale na kukodisha mabox kwa wanaolala pale.
Na saa 12 am inapaswa muamke ili barabara itumike tena kwa matumizi ya magari.

Basi nilitumia kama mwezi kulala hapo barabarani na kulipia pesa kidogo za mabox,,

kwakweli killikuwa kipindi kigumu sana kwangu. ,mapito haya yalinifanya niwe very strong katika changamoto zozote za maisha.

Nilikuwa na moyo mgumu sana ktk kukata tamaa ,,,
nilifikiria sna Tanzania,, nilipotoka,,
Nikifikiria sna mtaani kwangu na wachumba niliowaacha bongo,,
Nitarudije home bila pesa?

Hili jambo lilinipa ujasiri sna wa kuvumilia shida kwa muda wote .

Basi Ilikuwa mchana nakwenda kule green guest lilipokuwa bag langu,,
chumbani kwa jamaa yng fulani,,

Navizia yule muhindi hayupo,,
naoga nabadilisha nguo,,
naingia mtaani.

Baada ya miezi kadhaa nikaanza kuuzoea jiji la new delh.

Hapo pahar ganj street ni mtaa fulani upo very busy,
Ni mtaa fulani mwembamba kama ulivyo mtaa wa Congo daresalam,

Fully tourists,, sasa kazi yangu ilikuwa ni kuwakamatia wazungu..
Maana India ni moja kati ya inchi inayoongoza kwa watalii duniani.

Mfano atataka hotel,,au anahitaji bangi,,basi mm najuwa wapi pa kuzipata na namuuzia kwa bei juu..

Atahitaji tax ,,basi mm very sharp naweka cha juu,,kwa mzungu naishi.

Mfano tourist anataka bangi ya dola 20
Nachukuwa kwa mtanzania mwenzangu kwa dola 5 nauza juu

,na uzuri wa wazungu akikuzoea hachukuwi kwa yeyote zaidi ya mtu wake. Basi niliwashika sana.

Ukizingatia umri wangu mdogo halafu naongea straight English,, basi wazungu walinipenda sn.

Nilikuwa napata pesa mbili tatu za kula na kupiga simu nyumbani.

Mwishowe nikapata wazo la kupanga nyumba sehemu fullani ya mji,
panaitwa Vasant Vihar.

Vasant Vihar ni sehemu illiyotulia sana,,huku ni sehemu ambayo 98% ya watu weusi ni students.
Ni umbali wa kama 30 kilometers from delh town.

Na sisi tukajichanganya huko vasant kama students,, ili maisha yazidi kuenda..

Huko ndy nilipopata bahati ya kukutana na mrembo chenai.,

Itaendelea.
 
Episode 1.

Bado naikumbuka siku ya kwanza kufika India,,
Moyo wangu ulikuwa na hofu na wasiwasi na huko niendako.

Naikumbuka siku niliyoishiwa pesa za matumizi na kunifanya niwe street boy katika jiji la new delh.

Miaka 21 toka sasa,,lakini naikumbuka kila mtaa na eneo lote la new delh,,
kuanzia Karol Bagh,palika bazaar,pahar ganj ,,vasant vihar ,conut place.nk.

Bado naikumbuka sura nzuri sana ya mrembo chenai my love.

Where are you?


Hapa dar nilikuwa naishi mitaa fulani ya down town,,

Kipindi hicho watu wakitoka majuu,,basi wanatutia hamasa na tamaa ya kufika ng' ambo.
Yupo brother mmoja wa mtaani,,ilikuwa akirudi yupo powa sana,,
Kuanzia pamba ,,pesa kibao,,mademu kumgombania ni kawaida sana,

Kipindi hicho nina umri wa kama 20 hivi..
Basi niliamua kuzichanga pesa ,,mwishowe na Mimi mwandende nikawa kwenye emirates nakwea pipa ,,

Safari yangu ilianzia Nairobi,,kupitia Dubai,,then sahara international airport Mumbai..

Nakumbuka nilikuwa na jamaa zangu watanzania 3 ambao ndy walikuwa wanaongoza safari nzima.

Hawa jamaa nilikutana nao Nairobi ktk mipango ya kutafuta viza ya India.

Maana kipindi hicho hapa bongo hakukuwa na mambo mengi ya wajanja wa kutoa viza.

Ilikuwa kila kitu basi lazima upite Nairobi.


Mimi nilikuwa bado mdogo sana,,wala sina ndugu huko,,wala jamaa zaidi ya watanzania wenzangu wanaoishi huko ambao siwajuwi.

Tulifika Mumbai asubuhi salama,
pale tukakutana na watanzania wachache,,
Usiku tukapanda train tukaenda new delh ambapo ndy niliishi kwa dhiki na shida hadi kukutana na mtoto wa kishua chenai..

Itaendelea ,,
shukran kwa story kama hizi
 
Episode 2.

Tulifika new delh kesho yake jioni,,maana mwendo wa train kutoka Mumbai kwenda delh ni masaa 24.

Nakumbuka tulifika kama saa moja usiku.

New Delh ina baridi sana kuliko Mumbai,, nakumbuka ilikuwa mwezi wa february kama huu,,

Mbaya zaidi hatukujiandaa kwa winter jackets,, basi ilikuwa ni zaidi ya mateso kwa baridi.

India ni inchi ya ajabu sana,,maana ikiwa wakati wa summer,,basi joto hadi watu wanaanguka barabarani na kufa.
Na hata winter pia inakuwa ni baridi Kali sana sana.

Tulivyofika delh tukawatafuta watanzania kulingana na address tuliyopewa .

Tuliwasili katika hotel ya green guest house,,

Iliyopo mtaa wa pahar ganj,,guest ambayo ndy ilikuwa wanaishi baadhi ya watanzania waishio hapo new delh.

Kwa kweli jinsi nilivyokuwa naisikia India,,na jinsi nilivyoikuta ni vitu viwili tofauti,,

Jinsi nilivyokuwa naiangalia ktk movies ,,
na reality ni kama naota.

India ilikuwa ni Chafu sana,,kila mahali kuna mate ya tambuu,,wahindi hawachaguwi pa kutema mate.

Kwakweli nilianza kuichukia tangu nipo Mumbai,,
Lakini sikuwa na jinsi,sababu nilichokifata ni pesa. Ambazo hata sijuwi nitazipata vipi.

Maana mtu mgeni yeyote akifika India watu wanakushawishi uiuze ile return ticket yako.
Nikaja kugunduwa baadae kwamba ,,

lengo la kukushawishi uuze ticket yako ni kukufanya ushindwe kurudi nyumbani hata kama siku maisha yakikushinda.

Basi nilianza maisha mapya hapo green guest house,

Guest ilikuwa na vyumba vingi sana,,
ilikuwa na flat moja,
na kila chumba kina vitanda 2 ,,
Kwa malipo ya 10$ kwa kila kichwa kinacholala humo.

Maana yake hata mlale 6 chumba kimoja,,
yeye muhindi akija anachukuwa 10$ kwa kila mtu..
Kisha anafunga geti,,

Ilikuwa bado ni mgeni,,
na ktk balance yangu ya pesa nilibaki kama na 170$ tu,,
Kama ilivyo kawaida ya mgeni,,sehemu yeyote ukifika suala la pesa ngeni kwako inakuwa kama huziheshimu,,

Kwa matumizi ya hapa na pale,,mwisho wa siku pesa zote nimemaliza.

Maana kama ujuavyo maisha ya guest,,kula ni kujitegemea,
Nitaishije?
Nitalipa guest na nn?

Usiku umeshafika,,muhindi anataka pesa zake.

Muhindi,,

"Pesa chaiyee.."maana yake nahitaji pesa.

Mimi nikajibu pesa sina,nasubiri kutumiwa toka Tanzania.

Muhindi akanijibu kwa ukali..

--Is this your father's house?
Nikajibu No

--Is this your mother's house?
Nikajibu No

Niche jaoo...maana yake toka nenda chini..

Duu!! Wakuu usiku huu mm naenda wapi,,
Mgeni halafu simjuwi mtu huko nje,

Basi nikatoka nje na baridi lile la usiku,,
nikaanza kutafuta wapi nijibanze ili usiku upite.

Kwenye kuzunguka mtaa wa nyuma,nikaona watu wengi nao wamelala nje,,
na mm nikajilaza pembeni kabisa,,ili usiku upite.

Kufika asubuhi,,tukaamshwa na kelele za watu fulani,
kufuatilia kwa makini,,nikagunduwa kumbe ni wanaokodisha mabox ya kulalia,

India ni sehemu pekee duniani ambapo baadhi ya mitaa hufungwa usiku kupisha watu kulala ktk barabara hizo,

Wapo watu fulani wanamradi wa kukodisha mabox ya kulalia.,,

wanachofanya wanakuja pale na kukodisha mabox kwa wanaolala pale.
Na saa 12 am inapaswa muamke ili barabara itumike tena kwa matumizi ya magari.

Basi nilitumia kama mwezi kulala hapo barabarani na kulipia pesa kidogo za mabox,,

kwakweli killikuwa kipindi kigumu sana kwangu. ,mapito haya yalinifanya niwe very strong katika changamoto zozote za maisha.

Nilikuwa na moyo mgumu sana ktk kukata tamaa ,,,
nilifikiria sna Tanzania,, nilipotoka,,
Nikifikiria sna mtaani kwangu na wachumba niliowaacha bongo,,
Nitarudije home bila pesa?

Hili jambo lilinipa ujasiri sna wa kuvumilia shida kwa muda wote .

Basi Ilikuwa mchana nakwenda kule green guest lilipokuwa bag langu,,
chumbani kwa jamaa yng fulani,,

Navizia yule muhindi hayupo,,
naoga nabadilisha nguo,,
naingia mtaani.

Baada ya miezi kadhaa nikaanza kuuzoea jiji la new delh.

Hapo pahar ganj street ni mtaa fulani upo very busy,
Ni mtaa fulani mwembamba kama ulivyo mtaa wa Congo daresalam,

Fully tourists,, sasa kazi yangu ilikuwa ni kuwakamatia wazungu..
Maana India ni moja kati ya inchi inayoongoza kwa watalii duniani.

Mfano atataka hotel,,au anahitaji bangi,,basi mm najuwa wapi pa kuzipata na namuuzia kwa bei juu..

Atahitaji tax ,,basi mm very sharp naweka cha juu,,kwa mzungu naishi.

Mfano tourist anataka bangi ya dola 20
Nachukuwa kwa mtanzania mwenzangu kwa dola 5 nauza juu

,na uzuri wa wazungu akikuzoea hachukuwi kwa yeyote zaidi ya mtu wake. Basi niliwashika sana.

Ukizingatia umri wangu mdogo halafu naongea straight English,, basi wazungu walinipenda sn.

Nilikuwa napata pesa mbili tatu za kula na kupiga simu nyumbani.

Mwishowe nikapata wazo la kupanga nyumba sehemu fullani ya mji,
panaitwa Vasant Vihar.

Vasant Vihar ni sehemu illiyotulia sana,,huku ni sehemu ambayo 98% ya watu weusi ni students.
Ni umbali wa kama 30 kilometers from delh town.

Na sisi tukajichanganya huko vasant kama students,, ili maisha yazidi kuenda..

Huko ndy nilipopata bahati ya kukutana na mrembo chenai.,

Itaendelea.
Mkuu tunasubiri penzi la kuchi kuchi fanya kutupia next episode
 
Nilikuwa nakuchukulia poa kumbe umri umesogea tayari. Big up sana mzee Mwandende.
Shukran mkuu,,,ila usimchukulie powa mtu usiye mjuwa mkuu..

Yasije yakakukuta kama yule jamaa aliyetaka kunipiga kipindi fulani.

Siku anakuja gym anakuta mwandende ndy ngumi jiwe pale..
Yaani mwandende ndy mpango mzima pale gym.

Kilichomkuta ni zaidi ya mtema kuni.


Kkkkkkkk..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom