mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Hakuna ugonjwa wa chembe ya moyo. Mdogo wako atakuwa na vidonda vya tumbo. Waswahili huwa wanadai ni ugonjwa wa chembe ya moyo wanatibu kwa mitishamba wanaishia kuchanjanja watu ovyo. Mpeleke hospitali akapimwe huenda ana vidonda vya tumbo apatiwe matibabu yanayoeleweka.