YAMUNGU OMARY
Member
- Feb 3, 2023
- 10
- 26
Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla (Structural and vessels disease).
Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda (high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka /Hypotension).
Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.
Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya kupanda (high blood pressure/Hypertension) na kushuka kwa shinikizo la damu (Presha ya kushuka /Hypotension).
Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huu ukiwa mkubwa au mdogo kuliko unaohitajika mwilini ndio huitwa presha ya kupanda au kushuka.