Sasa hapo bado man u hajakutana na wazee wa hasira man city, sijui watapigwa ngapi man u, kumi au ...
tunahamu sana na chelski tu..Sasa hapo bado man u hajakutana na wazee wa hasira man city, sijui watapigwa ngapi man u, kumi au ...
mamaaa jirani ndo mnamfanya nini sasa.. tatu..
tunahamu sana na chelski tu..
Man wanapata goli moja
Etihad hupati kitu wale jamaa wana hasira na yeyote anaekuja mbele yako
Ukionewa huruma sana ww blues
naakili ya chelski mtapaki basi baada ya kuongeza goli..