Hapo mkuu Peasant umeongea vitu vya maana!
Humu ndani kuna watu mahodari wa kubishana bila takwimu..safi sana. Nimekugongea like mkuu!:nod:
Hapa nina amani tele na nausubiri msimu kwa hamu sana, is good to have a great guy back where he belong!Special one back at The Bridge....watch out you EPL rivals.
''BREAKING NEWS
jose mourinho 'damaged spanish football', claims andres iniesta''
![]()
Controversial: Mourinho caused quite a storm in Spain,
including when he poked Tito Vilanova in the eye
Hiyo ndio habari .. ... ..... .... .... kule ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Attacking midfielders at Chelsea for now: Mata, Hazard, Oscar, Marin, Moses, Schurrle, Kevin De Bruyne, Piazon... It's really complicated, someone will get loaned out, but somebody will be benched. Im happy to know the striking forces....Lukaku, Ba, Torres, Cavani, Lewandowksi, or Hulk
go go go go Chelsea
subirini bahasha wenu abrmvch awanunulie cavani na jovetic,
naskia mnamtaka pia fellaini,dah chelsick mna tamaa lakini sio mbaya kwakuwa jamaa mnampa haki yake bedn
Former Chelsea boss Benitez says Real Madrid have "recovered their values" by appointing Carlo Ancelotti.
Ana maana kuwa Chelsea have "lost their values" by appointing Mourinho as their Manager.
Read more: Rafa Benitez takes pot shot at Jose Mourinho | The Sun |Sport|Football