Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu tutake radhi bhana! Sisi ndio mabingwa!

na wataka radhi...!! ila matic amekuja kukatika mechi za mwisho ilo liangalieni....mble pale mkimleta lucccazette syo mbaya....afu jtahdini kucheza soccer laku posses mta cheza kwaku bahatisha ad lini...
 
na wataka radhi...!! ila matic amekuja kukatika mechi za mwisho ilo liangalieni....mble pale mkimleta lucccazette syo mbaya....afu jtahdini kucheza soccer laku posses mta cheza kwaku bahatisha ad lini...

Mou kasema kuna wapya wanakuja... Worry out
 
na wataka radhi...!! ila matic amekuja kukatika mechi za mwisho ilo liangalieni....mble pale mkimleta lucccazette syo mbaya....afu jtahdini kucheza soccer laku posses mta cheza kwaku bahatisha ad lini...

Bado unatuvunjia heshima Mkuu! Tunacheza soka la kubahatisha kivipi Mkuu wakati sisi ni timu ambayo haijafungwa na timu yoyote ile ya top four kwa misimu miwili?
 

11123558_10153456674572259_8805310192588027454_o.jpg



11053478_10153457297927259_8701042639348291396_o.jpg


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom